Nina shahada ya Uhandisi wa Mitambo, natafuta ajira

kinoJR

JF-Expert Member
Oct 31, 2015
258
563
Habari za wakati huu wakuu.

Mimi ni kijana muhitimu wa Shahada ya kwanza ya Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering) mwaka 2019 kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT). Naishi Mbagala, Dar es salaam

Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wa kupata sehemu ya kujishikiza (internship, volunteer au kazi) ili walau maisha yaendelee maana hali imekuwa mbaya kwa upande wangu na familia kwa ujumla haswa ukizingatia Mimi ndie tegemezi na Mzee alishafariki siku nyingi.

Mbali na elimu yangu, kipaji nilichonacho ni ufundi wa vifaa vya electronics(Simu, tv, radio, feni nk), changamoto kubwa ni mtaji

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI.
 
Japo kila mmoja anajua kuwa kufanya kazi ndiko hufanya maisha yasonge, unapoomba kazi usiseme unatafuta pa kujishikiza ili mambo yako yaende inatakiwa useme yale unayoweza kuyafanya mradi wa mtu ukafanikiwa ili ashawishike kukuchukua wewe na si mtu mwingine.

Kwenye hili wengi sana wanafeli hapa maslahi yako binafsi hutakiwi kuyapa priority unapoomba kazi uataendelea kukosa kila siku.

Waajiri wengi wanapenda kusikia namna unavyoweza kupush mradi wake ukafanikiwa na sio wewe uweke vipaumbele vyako.
 
Uwezo wa kukupa ajira sina lakin naweza kukupa mbinu

1. Njia rahisi, andaa cv yako vizuri mpe mtu akuhakikie sana sana HRs waliobobea, tafuta personal emails au za makampun, tuma maombi bila kujali wametangaza nafasi au hawajatangaza.

2. Kwenye utumaji wa maombi hapo.
Anza na introduction nzuri yenye kingereza kirahisi na chakueleweka. Kisha ambatanisha na cv, vyeti vyako vya shule kwenye pdf moja, kisha weka vyeti vingine vya ujuzi tofauti tofauti.

Jitahid zingatia hayo utakuja kunishukuru.
 
... kujishikiza (internship, volunteer au kazi) ili walau maisha yaendelee maana hali imekuwa mbaya kwa upande wangu na familia kwa ujumla haswa ukizingatia Mimi ndie tegemezi na Mzee alishafariki siku nyingi...

Jitahidi unapoomba kazi usitaje matatizo yako mana kazi mtu hapewi kwa kuhurumiwa bali anapewa kwa uwezo wake.

Jikite zaidi kueleza uwezo wako na mambo ambayo umewahi kuyafanya kwa mafanikio na unayojivunia.

Eleza zaidi utaongezaje thamani kwa mwajiri na sio kazi itasaidiaje maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kazi haijatangazwa, ni vizuri akipeleka maombi moja kwa moja kuliko kutuma kwa Email
Zote ni njia sahihi na bora, lakin ya kupeleka hiv hiv unauhakika gan kama atakayepokea atajali? Maana hautaweza kumfikia ceo, md au hr ni ngumu
 
ukipeleka kwa mkono muda mwingine zinaishia kwa walinzi
Kuonana na CEO au HR bila appointment naye ni ngumu sana, ikitokea hiyo ni bahati, kwahiyo ukimpa mlinzi/receptionist documents zako mwambie akupelekee kwa muhusika hapo hapo, alafu akuletee feedback kama zimepokelewa au zimekataliwa, then mengine yatafuata huko mbeleni.
 
Mwana TET mwenzangu pole aisee, ila nenda pale Alistair Pale kurasini karibu na uhamiaji ,wanaweza kukupokea kwa ajiri ya intern,...


Jaribu na simba logistics pale matumbi kama unaelekea tabata relini omba intern au kazi
 
Engineer,unaweza ku overhaul engine ya 20KVA,500KVA?unauzoefu wa kufanya preventive maintainance kwenye diesel generators,air-conditions,unajua welding kidogo?
Au ukipata inabidi tukufundishe?

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
mpe kijana nafasi mkuu hata Kama atahitaji kufundishwa, hakuna alozaliwa anajua, even a master was once a beginner. Msaidie kijana kitaani hapasomeki.
 
Mwana TET mwenzangu pole aisee, ila nenda pale Alistair Pale kurasini karibu na uhamiaji ,wanaweza kukupokea kwa ajiri ya intern,...


Jaribu na simba logistics pale matumbi kama unaelekea tabata relini omba intern au kazi
KIONGOZI HAPO ERB UNAFNYAJE ILI WAKUTAFUTIE INTERN NAMI NIMEHITIM NIT AUTOMOBILE KITAA NI KUGUM MNO
 
Japo kila mmoja anajua kuwa kufanya kazi ndiko hufanya maisha yasonge, unapoomba kazi usiseme unatafuta pa kujishikiza ili mambo yako yaende inatakiwa useme yale unayoweza kuyafanya mradi wa mtu ukafanikiwa ili ashawishike kukuchukua wewe na si mtu mwingine.

Kwenye hili wengi sana wanafeli hapa maslahi yako binafsi hutakiwi kuyapa priority unapoomba kazi uataendelea kukosa kila siku.

Waajiri wengi wanapenda kusikia namna unavyoweza kupush mradi wake ukafanikiwa na sio wewe uweke vipaumbele vyako.
Nimekuelewa vizuri mkuu na shukrani kwa ushauri wako, ila kumbuka hapa mimi naomba msaada(connection) ili nipate kazi.
Ukinipa msaada wa kupata kazi kama itahitajika kutuma maombi basi usidhani nitayaandika hayo niliyoyaandika hapo juu.
 
Uwezo wa kukupa ajira sina lakin naweza kukupa mbinu

1. Njia rahisi, andaa cv yako vizuri mpe mtu akuhakikie sana sana HRs waliobobea, tafuta personal emails au za makampun, tuma maombi bila kujali wametangaza nafasi au hawajatangaza.

2. Kwenye utumaji wa maombi hapo.
Anza na introduction nzuri yenye kingereza kirahisi na chakueleweka. Kisha ambatanisha na cv, vyeti vyako vya shule kwenye pdf moja, kisha weka vyeti vingine vya ujuzi tofauti tofauti.

Jitahid zingatia hayo utakuja kunishukuru.
Shukrani mkuu ushauri wako nimeupata na nitaufanyia kazi.
 
Jitahidi unapoomba kazi usitaje matatizo yako mana kazi mtu hapewi kwa kuhurumiwa bali anapewa kwa uwezo wake.

Jikite zaidi kueleza uwezo wako na mambo ambayo umewahi kuyafanya kwa mafanikio na unayojivunia.

Eleza zaidi utaongezaje thamani kwa mwajiri na sio kazi itasaidiaje maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
imekuelewa vizuri mkuu na shukrani kwa ushauri wako, ila kumbuka hapa mimi naomba msaada(connection) ili nipate kazi.
Jitahidi unapoomba kazi usitaje matatizo yako mana kazi mtu hapewi kwa kuhurumiwa bali anapewa kwa uwezo wake.

Jikite zaidi kueleza uwezo wako na mambo ambayo umewahi kuyafanya kwa mafanikio na unayojivunia.

Eleza zaidi utaongezaje thamani kwa mwajiri na sio kazi itasaidiaje maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
N
Jitahidi unapoomba kazi usitaje matatizo yako mana kazi mtu hapewi kwa kuhurumiwa bali anapewa kwa uwezo wake.

Jikite zaidi kueleza uwezo wako na mambo ambayo umewahi kuyafanya kwa mafanikio na unayojivunia.

Eleza zaidi utaongezaje thamani kwa mwajiri na sio kazi itasaidiaje maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekuelewa vizuri mkuu na shukrani kwa ushauri wako, ila kumbuka hapa mimi naomba msaada(connection) ili nipate kazi.
Kama utanipa msaada wa moja kwa moja nitashukuru kama utaambatana na barua ya maombi ya kazi basi nikuhakikishie niliyoyaandika hapo juu hayana nafasi kwenye maombi ya kazi
 
Japo kila mmoja anajua kuwa kufanya kazi ndiko hufanya maisha yasonge, unapoomba kazi usiseme unatafuta pa kujishikiza ili mambo yako yaende inatakiwa useme yale unayoweza kuyafanya mradi wa mtu ukafanikiwa ili ashawishike kukuchukua wewe na si mtu mwingine.

Kwenye hili wengi sana wanafeli hapa maslahi yako binafsi hutakiwi kuyapa priority unapoomba kazi uataendelea kukosa kila siku.

Waajiri wengi wanapenda kusikia namna unavyoweza kupush mradi wake ukafanikiwa na sio wewe uweke vipaumbele vyako.
Absolutely
Naunga mkono hoja!
 
Kila la kheri Mkuu,utafanikiwa..kila mtu ana njia yake.

Dunia ya sasa
FB_IMG_1613641277330.jpg
 
Back
Top Bottom