Habari za wakati huu wakuu.
Mimi ni kijana muhitimu wa Shahada ya kwanza ya Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering) mwaka 2019 kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT). Naishi Mbagala, Dar es salaam
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wa kupata sehemu ya kujishikiza (internship, volunteer au kazi) ili walau maisha yaendelee maana hali imekuwa mbaya kwa upande wangu na familia kwa ujumla haswa ukizingatia Mimi ndie tegemezi na Mzee alishafariki siku nyingi.
Mbali na elimu yangu, kipaji nilichonacho ni ufundi wa vifaa vya electronics(Simu, tv, radio, feni nk), changamoto kubwa ni mtaji
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI.
Mimi ni kijana muhitimu wa Shahada ya kwanza ya Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering) mwaka 2019 kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT). Naishi Mbagala, Dar es salaam
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wa kupata sehemu ya kujishikiza (internship, volunteer au kazi) ili walau maisha yaendelee maana hali imekuwa mbaya kwa upande wangu na familia kwa ujumla haswa ukizingatia Mimi ndie tegemezi na Mzee alishafariki siku nyingi.
Mbali na elimu yangu, kipaji nilichonacho ni ufundi wa vifaa vya electronics(Simu, tv, radio, feni nk), changamoto kubwa ni mtaji
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI.