Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,705
- 13,319
Bas fanya hiyo kama fulsa. Na usisubir had uingie studio ndio utoke unaweza anzisha ata page kwenye social networks ukawa unaweka video zako mwisho wa siku ukajikuta unatoka, ama ondoa aibu anza kufanya live show kwenye mahotel ya wastarabu, kumbuka kuna watu wanavutiwa na mziki wa live band tumia hao kama fulsaNapenda kuimba, naimba sana ila bado najipanga zaidi, natunga na nyimbo pia.