OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,048
Wakuu khabari za wakati huu. Mimi ni muhitimu wa fani ya ununuzi na ugavi (Procurement and Logistics/supply Management) mwaka 2019. Hadi sasa nina uzoefu wa mwaka mmoja baada ya kujitolea kwenye taasisi fulani ya Serikali.
Napatikana Arusha na kama kuna kazi yeyote ya halali basi Niko tayari kufanya.
Mawasiliano ni 0693164420.
Asanteni
Napatikana Arusha na kama kuna kazi yeyote ya halali basi Niko tayari kufanya.
Mawasiliano ni 0693164420.
Asanteni