Nina Shahada katika masuala ya TEHAMA, natafuta kazi

Sinanjema

JF-Expert Member
Dec 11, 2017
283
513
Habarini za asubuhi watu wote wa humu ndani.

Mimi ni mdogo wenu nimejitokeza mbele yenu kuomba ajira yoyote itakayoniwezesha kupatapa kipato halali.

Elimu yangu ni degree katika maswala ya TEHAMA. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote ndani na nje ya Tanzania.
 
Tehema ni practical zaidi sema unaweza fanya nini katika Tehama mfano web development
 
Habarini za asubuhi watu wote wa humu ndani.

Mimi ni mdogo wenu nimejitokeza mbele yenu kuomba ajira yoyote itakayoniwezesha kupatapa kipato halali.

Elimu yangu ni degree katika maswala ya TEHAMA. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote ndani na nje ya Tanzania.
Kwa hiyo umesoma tu tehama hujui kitu kingine unachojua kwenye Tehama?
 
Hata mimi nimesoma Tehama baada ya kujakuomba kazi humu wengi walinishauri nirud kusoma upya niielewe kwa kwel nilifanya ivyo hata saiz bado nasoma tena practical .kwa kwel ushauri wao umenisaidia saizi hata mimi naweza jiita IT ,IT ya vyuo ile ya theory ni Takataka . ushauri kama unapenda Tehama rudi kujifunza uwe nondo IT sio HR kuwa utakalili notes
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom