Lucky01
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 214
- 173
Habar zenu wanajamvi,natumai mko wazima.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika mishe zangu nimeweza kufanikiwa kupata faida ya sh 1.5m,nikaona nitumie hii hela kununua mashamba ya miti ya mbao huku Mafinga ambayo yanauzwa kwa sh laki 1.5 kwa miti ya miaka miwili kwa ekari moja so nnauwezo wa kununua around eka 10 kwa hiyo hela ambayo huko mbeleni ninaweza kupata faida kubwa.Naomba ushauri wenu wadau kuhusu changamoto katika biashara hii....
Nawasilisha
Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika mishe zangu nimeweza kufanikiwa kupata faida ya sh 1.5m,nikaona nitumie hii hela kununua mashamba ya miti ya mbao huku Mafinga ambayo yanauzwa kwa sh laki 1.5 kwa miti ya miaka miwili kwa ekari moja so nnauwezo wa kununua around eka 10 kwa hiyo hela ambayo huko mbeleni ninaweza kupata faida kubwa.Naomba ushauri wenu wadau kuhusu changamoto katika biashara hii....
Nawasilisha