DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,377
- 98,833
Yuko sahii,Ina maana kwenye milion wanakata laki ?
kwenye mabenki ndo utaratibu.
Yuko sahii,Ina maana kwenye milion wanakata laki ?
Hio Ni legal.., Mbona naona kama ni wizi ? Jaribu kuwasiliana na BOT kuwauliza na kama kweli wanafanya hili huu ni Ujambazi; kama wewe usivyoruhusiwa kuuza chenjiasante mkuu, kila wiki hua napata kias flan cha coin, niliwah enda nmb wao wanakata 10%
nimesema bank wanakata asilimia 10 ndio mana sijataka kupeleka mzeeMkiona hataki kuzipeleka Bank mjue hizo ni chuma ulete...
kivipiHaupo serious ndugu
Peleka bank yototekivipi
Wapelekee wafanya biashara ndogo ndogo au watu wa Daladala kama wadau wengine walivyoshauri.nimesema bank wanakata asilimia 10 ndio mana sijataka kupeleka mzee
nimesema bank wanakata asilimia 10 ndio mana sijataka kupeleka mzee
Mimi ntakubadilishia ila kwa kila elfu 50 ntakata elfu 2