Nina safari ya kuelekea Marekani, nawaombeni ambae ameshawahi kufika anipe elimu

Jiandae kujikinga na baridi hasa nyakati za asubuhi na jioni. Ni jiji zuri sana lenye kila aina ya vikorombwezo. Ukiona watu barabarani wanakimbia angalia wanakimbilia direction ipi ili nawe uanze kukimbilia kipande hiyo mara nyingi huwa ni fyatu kishaanza kumiminia watu risasi. Ni jiji lenye gharama kubwa sana ya maisha hivyo ujiandae vizuri na lina watu wengi sana na magari pia ni mengi sana Dar ni cha mtoto.

New York City comprises 5 boroughs sitting where the Hudson River meets the Atlantic Ocean. At its core is Manhattan, a densely populated borough that’s among the world’s major commercial, financial and cultural centers. Its iconic sites include skyscrapers such as the Empire State Building and sprawling Central Park. Broadway theater is staged in neon-lit Times Square. ― Google
Land area: 783.8 km²
Founded: 1624
Local time: Sunday 16:38
Mayor: Bill de Blasio
Population: 8.419 million (2019)
Weather: 25°C, Wind N at 5 km/h, 43% Humidity weather.com
ZIP Codes: 100xx–104xx, 11004–05, 111xx–114xx, 116xx
 
duuuhhhh ,
Dar cha mtoto mmmmhhhh aiseee .

New York City comprises 5 boroughs sitting where the Hudson River meets the Atlantic Ocean. At its core is Manhattan, a densely populated borough that’s among the world’s major commercial, financial and cultural centers. Its iconic sites include skyscrapers such as the Empire State Building and sprawling Central Park. Broadway theater is staged in neon-lit Times Square. ― Google
Land area: 783.8 km²
Founded: 1624
Local time: Sunday 16:38
Mayor: Bill de Blasio
Population: 8.419 million (2019)
Weather: 25°C, Wind N at 5 km/h, 43% Humidity weather.com
ZIP Codes: 100xx–104xx, 11004–05, 111xx–114xx, 116xx
 
Naam Mkuu jiji lenye karibu watu milioni 21 Dar yenye watu milioni 5 ni cha mtoto.

New York City comprises 5 boroughs sitting where the Hudson River meets the Atlantic Ocean. At its core is Manhattan, a densely populated borough that’s among the world’s major commercial, financial and cultural centers. Its iconic sites include skyscrapers such as the Empire State Building and sprawling Central Park. Broadway theater is staged in neon-lit Times Square. ― Google
Land area: 783.8 km²
Founded: 1624
Local time: Sunday 16:38
Mayor: Bill de Blasio
Population: 8.419 million (2019)
Weather: 25°C, Wind N at 5 km/h, 43% Humidity weather.com
ZIP Codes: 100xx–104xx, 11004–05, 111xx–114xx, 116xx
 
Muda wa kuanika ndiyo changamoto plus matusi ya humu ndan unayajua tena! Bahat mbaya nilikua busy kiasi kwamba sikua na nafasi ya kugegedwa jingine ni kuwa nilienda kule nikiwa na cheo kwahiyo waliokua wananizunguka walikua wananiogopa..nilipata nafas siku moja ya kwenda kununua lain ya kule nikakutana na kijana wa kizungu kachora tatoo hlf ni handsome na ndo alikua ananihudumia bas akanipenda na kunisifia palepale akanipa na namba yake nimpigie nikishaweka lain yangu mpya kwa simu..bahat mbaya ile namba nikaimiss place na kesho yake jilivyorudi pale dukan sikumkuta..niliumia ila ubusy uliniponza sikurudi tena..

New York City comprises 5 boroughs sitting where the Hudson River meets the Atlantic Ocean. At its core is Manhattan, a densely populated borough that’s among the world’s major commercial, financial and cultural centers. Its iconic sites include skyscrapers such as the Empire State Building and sprawling Central Park. Broadway theater is staged in neon-lit Times Square. ― Google
Land area: 783.8 km²
Founded: 1624
Local time: Sunday 16:38
Mayor: Bill de Blasio
Population: 8.419 million (2019)
Weather: 25°C, Wind N at 5 km/h, 43% Humidity weather.com
ZIP Codes: 100xx–104xx, 11004–05, 111xx–114xx, 116xx
 
Muda wa kuanika ndiyo changamoto plus matusi ya humu ndan unayajua tena! Bahat mbaya nilikua busy kiasi kwamba sikua na nafasi ya kugegedwa jingine ni kuwa nilienda kule nikiwa na cheo kwahiyo waliokua wananizunguka walikua wananiogopa..nilipata nafas siku moja ya kwenda kununua lain ya kule nikakutana na kijana wa kizungu kachora tatoo hlf ni handsome na ndo alikua ananihudumia bas akanipenda na kunisifia palepale akanipa na namba yake nimpigie nikishaweka lain yangu mpya kwa simu..bahat mbaya ile namba nikaimiss place na kesho yake jilivyorudi pale dukan sikumkuta..niliumia ila ubusy uliniponza sikurudi tena..

Kwa hiyo ulirudi kwa yule kijana kwaajili ya NDIZI!
 
Umenikumbusha miaka Zaid ya mitano nyuma nilipoenda marekani kwa mara ya kwanza, nilienda kwa mwaliko wa shirika na nilikua peke yangu kutoka tanzania..bas nikaingia kwenye ndege sijui chochote na kwenye gar hata sioni mbongo mwenzangu yaani niko peke yangu dah! Lakini sikua na wasiwasi sana zaid ya furaha tu! Kimbembe ni tulifika sehem tunataka kubadilisha ndege asee mpaka leo huwa nachekaaa akili ikanijia niulize wale polis mle ndani.

Sasa jaman ugeni huu..naenda kumuuliza na Kiingereza changu cha kuunga nimesahau sasa ntasema marekan? Aah polis hajui marekan kimoyo moyo nasema sasa hili jina la marekani lilitokea wap? Sasa niseme amerika? Amerika si bara hatonielewa aah nikaachana naye nikaanza kufata watu..baahat nzuri kulikua na muda mrefu kabla ya kubadili ndege ndiyo nikaenda kusoma kwenye zile board zao nikaona napotakiwa kwenda..kiufup ni kama vile kulikua tu na roho mtakatifu ananiongoza.

Mpaka baadae tunashuka airpot ya D.C ndiyo nikakutana na mbongo tukasalimiana sasa pale ndiyo tunatoka nje ya uwanja na vimbwa vyao vile vinatunusa dah! Nikachukua tax hadi hotelini lakini jina la marekan lilinisumbua sana kwakwel...tulikaa wiki mbili siku ya kurudi tena niko peke yangu uwanjani mle kuna sehem ya kupanda zile tren za ndani heehee nasikiliza tren imetaja kituo nikadandia chap..kutika ndan aah mbona tena kama siyo hii nikashuka fasta kufika chini tu nikauliza nikaambiea ndiyo hiyohiyo zena chap nikarukia kwa mlango mwingine jaman siku ile nilitetemeka uwiiii..ngoja niishie hapa lakin mkuu we nenda tu utafika tu wala hutopotea.
umenikumbusha mbali sana mwanangu, niliwahi kujichanganya Johannesburg S.A sito sahau.
 
Hahaa Cha kwanza uwe makini ukifika airport Kuna mashine zile Zina maswali very tricky...soma vizuri uelewe swali ndio ujibu, usipay attention kwa wale Askari wanakuharakisha
First day lazima utumie ubber...it's safe and you can pay cash though ni expensive kidogo
Next day go and buy a metro card zinapatikana kwenye bus station in special machine where you keep money and load it on the metro card that you can use for public transport, ni cheap but lazima ujue ur destinations cause no one to direct you
New York is well arranged na all streets and avenue Zina number so you just need to know unaelekea namba gani ya Street on which avenue then huwezi kupotea kabisaa
Food zinapatikana just tembelea supermarket utapata vyakula and you can cook...kula hoteli it's ur choice but upikaji wa vyakula vyao ni tofauti kidogo na sisi...so you will need time kuvizoea..
Enjoy mkuu na ukiwa na swali waulize wazee...vijana have no time kabisaa...
All the best
Wewe sasa utampoteza maana naona unachanganya na kimombo wakati yeye mskuma hakijui, mweleweshe kwa kiswahili tena taratibu.
 
N
Kuna wabongo NYC kwao ni kama Kariakoo hao ndio huwatembeza Wtz wengi wakienda kutembelea NYC ,wamewatembeza akina Makonda,Mwigulu,Lisu,Domo , Kitenge na wengineo wengi unawalipa tozo kidogo na nauli na gharama za matembezi ni zako mwenyewe, hao watakupeleka popote unapotaka, ila ni muhimu kujua unapenda kutembelea vivutio gani, hao hata ukitaka kukodi helicopter watakufanyia hata ukitaka totoz za Kinywamwezi wewe tu.
Nipe namba zao ndugu!
 
Muda wa kuanika ndiyo changamoto plus matusi ya humu ndan unayajua tena! Bahat mbaya nilikua busy kiasi kwamba sikua na nafasi ya kugegedwa jingine ni kuwa nilienda kule nikiwa na cheo kwahiyo waliokua wananizunguka walikua wananiogopa..nilipata nafas siku moja ya kwenda kununua lain ya kule nikakutana na kijana wa kizungu kachora tatoo hlf ni handsome na ndo alikua ananihudumia bas akanipenda na kunisifia palepale akanipa na namba yake nimpigie nikishaweka lain yangu mpya kwa simu..bahat mbaya ile namba nikaimiss place na kesho yake jilivyorudi pale dukan sikumkuta..niliumia ila ubusy uliniponza sikurudi tena..
Uliplan akufanye? What if yeye alikufurahia tu kawaida?
 
Duh kwahiyo sisi ambao hatujaenda huko USA tuna comment wapi maana naona Uzi huu umetawaliwa na waliowahi kwenda USA tu au wengine wanazuga tu nao hawajawahi kwenda?
 
Back
Top Bottom