Youth champion
Member
- Feb 12, 2020
- 66
- 84
- Thread starter
- #61
sawa nduguUnaenda na shirika gani la ndege?
kuna suala la kubadili ndege
Kama mjanja mjanja sio shida
Kama sio usiisite kuuliza
spoke my ndio nn ?Ushauri muhimu:-
Usiote Cash mbeke ya watu..
Usioneshe kama una noti au burungutu..
Usiulize ulize hovyo..bora use unasoma bango...
Kuhusu usafiri wa underground metros.. utaizoea tu.. kwa sbb kuna route map..
Mengine spoke MY ndiyo America yote... ni Dream of all Anericans..
Nenda utafurahi.. urudi kwa salaama
Nili mean NEW York city ndiyo kilakitu Huko USspoke my ndio nn ?
U mean Kensington Philadephia, watu wapo high all the time...😇😇Ukifika tu airport waambie take me to zombie's land, I am from Gamboshi
Nipo Maryland pia, huku vijijini, karibu sana jirani....tutembeleaneUpo marekani sehemu gani? Nipo Maryland
Unasoma huko?Nipo Maryland pia, huku vijijini, karibu sana jirani....tutembeleane
Unaingia mtandaoni unapata kifaa,mambo ya kwenda mitaani ni kutokustaarabikaWarembo wanapatikana mitaa gani na wana cots gharama gani ukimtoa out
Mie bahat nzuri nilikuta jina langu mwenye tax kashikilia bango..tatizo ni baada ya kushuka kwenye ndege na kwenda kwenye ndege nyingine au kutoka nje ya airpot weweee heehee achaaa..ila kama unajua kingereza itakusaidia...mie bado napaan kabisa aliyefanya tuzoee kuita marekani sijui ni nan dah! Mzungu namuuliza ndege ya marekan naipata wap ananiuliza unasemaje?? Aah akili ikanijia fasta huu msala hakuna nchi inaitwa marekan doh! Nikaachana naye
Mkuu umeendaa pesa Kia's gan ili tukupe connection Nina ajent anaweza kukusindikiza!Ndugu zangu wana JF,
Nina plan kuwa na safari ya kwenda Marekani (New York) by November mwaka huu ni safari ya kawaida tu just tour kwa wiki moja, lakini ndio itakuwa safari yangu ya kwanza kutoka nje ya Tanzania ukitoa Kenya.
So nawaombeni ambae ameshawahi kufika anipe elimu kidogo juu ya mambo ambayo niwe makini nayo katika safari hii
hasa ninapotua tu Airport.
Wa mitandao sio wazuri, kitu kizuri uone kwa macho yakoUnaingia mtandaoni unapata kifaa,mambo ya kwenda mitaani ni kutokustaarabika
Ni kutembelea maeneo ya starehee kama night clubs...utawaona huko barabaraniWa mitandao sio wazuri, kitu kizuri uone kwa macho yako
Hapo sawa boss, nitafanyia kazi huu ushauri wakoNi kutembelea maeneo ya starehee kama night clubs...utawaona huko barabarani
Jamani situvuke Zenjiland au Dubai ?Jaman passport yangu itavuka continent lini?😂😂😂😂
Wazo sasa lilikua hamna kichwan nikaishia kulaumu tu nani alileta hili neno marekani walah! Nikaangalia huku na huku hakuna anayeniangalia huyo nikaamua kufuata watu hapo hata cjui naelekea wap yaaan akili inafanya kazi visivyokawaida mamaae hata ningekutana na nyoka siku ile nisingemjua ooh! Nawaza tu sasa nafanyaje??si ungetaja tu rais kama ulisahau kusema US na wewe,, ungewaambia naenda kwa trump
Zenji hapa ni pa kwenda na pass? Labda dubai😂😂Jamani situvuke Zenjiland au Dubai ?
Mkuu hizo ni swagga tu, mtu yupo kule chekereni anakukaribisha Dodoma 😁!.Upo marekani sehemu gani? Nipo Maryland