Nina sababu za kutokupiga kura tena

nditolo

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
3,609
4,096
Kwaninin Tanzania tuko hivi?
Nina mifano ya nchi jirani ambazo democrasia inafuatwa lakini kwa Tz hapana
1. Malawi nchi jirani na ndogo tu lkn democrasia iko juu
2. Zambia mbali na matatizo waliyonayo lakini huwezi kuwapangia kiongozi gani awaongoze au kuwatawala kama ilivyo kwetu hapa.
3. Kenya nao wanakuja juu kidemocrasia

Sasa angalia hapa kwetu leo nataka ku justify kuwa kwanini hakuna umuhimu wa wewe kwenda kupiga kura
1. Rejea chaguzi za marudio, dhahiri shahiri unjua ccm lazima itangazwe mshindi then ulivyo boya unaacha shughuli zako unaenda kupoteza muda kwenye folen wakati mshindi anajulikana.
2. Unajua mkurugenzi wa halmashauri ndiye msimamizi wa uchaguzi aliyeteuliwa na raisi wa ccm unategemea atamtangaza mgombea mwingine ushindi?
3. Unajua police wapo kwaajili ya chama tawala then unaenda kupiga kura kuipinga serikali watakubali 'unapoteza muda'.
4. Unajua kuwa tume ni ya wana ccm unaenda kupiga kura unategemea nini?
5. Ni upuuzi ulikithiri kuwa wakala wako ambaye hana hata ulinzi wa mgambo atakulindia kura ndani ya chumba kilichojaa askari wenye siraha.


Solution
1. Nawasihi muache na ninyi kupiga kura maana ni upuuzi mnapoteza muda bure
2. Napenda haki itendeke msipoonekana kwenye vituo vya kupigia kura watabadilika wataleta tume huru '' unaenda kufanya nini wakati mshindi anajulikana?''


Mengine ongezea mm naishia hapo

Sio uchochezi bali ni maoni tu maana sioni faida ya kuacha kufanya shughuli zangu za muhimu niende kwenye foleni ambayo najua mshindi ni nani.

Bora wakati wa chama kimoja unapigia jiwe au mtu
 
Sipigi tu, tena sio mimi ila ni wote wanao nitegea na wale marafiki wangu wa karibu. Ni ujinga na upuuzi usiokuwa na kifani.

Na nitashangaa sana kuona watu wa Liwale wana foleni kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana
 
tunashukuru kama wapinzani wote mngekuwa na moyo kama wako mngekuwa hamtupi tabu kushinda ushauri mzuri xana endelea kuwashawishi
 
CCM na serikali yake wanajua kupitia Uchaguzi 2015, ni jinsi gani wananchi walivyo wakataa!!

Haya yanayoendelea ni kujaribu kuhalalisha utawala wao. Na watafanya hivyo kupitia vyombo vya dola, na vya maamuzi. Na yoote haya, loophole yao ni katiba yenye elements za kikoloni. Na wataendelea kutumia katiba hii mbovu, kwa kuwa hakuna pressure kinzani ya wananchi dhidi ya katiba hii mbovu .
 
Kwaninin Tanzania tuko hivi?
Nina mifano ya nchi jirani ambazo democrasia inafuatwa lakini kwa Tz hapana
1. Malawi nchi jirani na ndogo tu lkn democrasia iko juu
2. Zambia mbali na matatizo waliyonayo lakini huwezi kuwapangia kiongozi gani awaongoze au kuwatawala kama ilivyo kwetu hapa.
3. Kenya nao wanakuja juu kidemocrasia

Sasa angalia hapa kwetu leo nataka ku justify kuwa kwanini hakuna umuhimu wa wewe kwenda kupiga kura
1. Rejea chaguzi za marudio, dhahiri shahiri unjua ccm lazima itangazwe mshindi then ulivyo boya unaacha shughuli zako unaenda kupoteza muda kwenye folen wakati mshindi anajulikana.
2. Unajua mkurugenzi wa halmashauri ndiye msimamizi wa uchaguzi aliyeteuliwa na raisi wa ccm unategemea atamtangaza mgombea mwingine ushindi?
3. Unajua police wapo kwaajili ya chama tawala then unaenda kupiga kura kuipinga serikali watakubali 'unapoteza muda'.
4. Unajua kuwa tume ni ya wana ccm unaenda kupiga kura unategemea nini?
5. Ni upuuzi ulikithiri kuwa wakala wako ambaye hana hata ulinzi wa mgambo atakulindia kura ndani ya chumba kilichojaa askari wenye siraha.


Solution
1. Nawasihi muache na ninyi kupiga kura maana ni upuuzi mnapoteza muda bure
2. Napenda haki itendeke msipoonekana kwenye vituo vya kupigia kura watabadilika wataleta tume huru '' unaenda kufanya nini wakati mshindi anajulikana?''


Mengine ongezea mm naishia hapo

Sio uchochezi bali ni maoni tu maana sioni faida ya kuacha kufanya shughuli zangu za muhimu niende kwenye foleni ambayo najua mshindi ni nani.

Bora wakati wa chama kimoja unapigia jiwe au mtu


Hoja hii inafikirisha sana!
 
Mimi ningeshauri kila mtu awe na kitambulisho chake na ajiandae vyema ili angalau apooze machungu. Kama wabunge na madiwani wa upinzani wanalipwa mpaka milioni 500. kwanini na sisi tusilipwe ili tushiriki kwenye hizi chaguzi?

Viwango vya malipo ni kama ifuatavyo.
-Kwenda kwenye kampeni za CCM - kwa mkutano mmoja sh. 25,000. (nauli ya kwenda, kurudi na ya kuleta nyumbani kitoweo)
-Kupiga kura sh 50,000 (nauli ya kwenda, kurudi, na usumbufu wowote utakaojitokeza wakati wa zoezi la kupiga kura).
Hivi viwango vinaweza kubadilika kuendana na mazingira ya eneo husika.

Nilivyoweka ni viwango vya chini sana ukilinganisha na rushwa wanazopeana kuanzia bungeni ili wapitishe bajeti, na kwenye mambo mengine ya kuharibu nchi.
 
Najua kuna wengi hasa wafia chama chao wanafikiri kuwa wao ndio wanahaki ya kila kitu hapa Tz. Lakini tambueni kuwa watu watahamasishwa ili serikali ikose legitimacy.
 
Back
Top Bottom