Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Ukimchukia au kama humpendi Rais Samia Suluhu uwe na sababu. Sio sababu tu, bali sababu za msingi ambazo unaweza kuzijengea hoja nzito na kila mja akakuelewa.

Kimsingi Rais Samia ndani ya siku 495 za Urais wake, amefanya makubwa katika kila sekta, wazungu wanasema 'No stone left unturned'. Kwenye kilimo sina cha kusema nadhani kila mtu anajua ongezeko la bajeti zaidi yaa 100% ya bajeti ya 2021/2022.

Kwenye elimu ndio habari, madarasa zaidi ya 15,000 ya shule za sekondari na shule za msingi yamejengwa ndani ya miezi mitatu tu. Kwa mara kwa kwanza katika historia ya nchi hii, hakuna mtoto alibaki nyumbani kusubiria majibu ya awamu ya pili baada ya matokeo kutangazwa, bali kila mtoto alipata darasa na alipata kiti na meza, na hakuna ada. Mama kaondoa kabisa ada ya kidato cha tano na sita na wanafunzi wa vyuo vikuu wameboreshewa zaidi mazingira ya mkopo wao wa elimu ya juu.

Katika afya, hivi sasa kila kuna mkakati wa kujenga zahanati kwenye kila tarafa na kuna nyingine tayari zimeshajengwa huku kila wilaya ikitengewe bil. 500 kupata hospitali ya Wilaya, Mama etu huyo, tunataka kitu gani watanzania?

Nina sababu zaidi milioni moja za kumsapoti Mama. Muda hautoshi kuzieleza hapa, ila kadiri siku zinavyokwenda mbele nitakuwa natoa kadhaa kama leo, hadi zitimie milioni 1. Ombi langu usicheze mbali na ukurasa huu kwa dondoo za kila siku.
 
Mimi pia ninazo sababu milioni za kumpa huyu jamaa a.k.a

Aka chuma,aka jabali,aka jiwe,aka kiboko ya mafisadi,aka mwamba, aka mbabe wa Corona, aka tingatinga,aka mchapakazi,aka mwajibikaji,aka mjenga reli,aka bwawa la umeme,aka barabara,aka fly over ..

Nitaendelea,nasubiri povu Kwanza
IMG_20220725_194622.jpg
 
Ukimchukia au kama humpendi Rais Samia Suluhu uwe na sababu. Sio sababu tu, bali sababu za msingi ambazo unaweza kuzijengea hoja nzito na kila mja akakuelewa.

Kimsingi Rais Samia ndani ya siku 495 za Urais wake, amefanya makubwa katika kila sekta, wazungu wanasema 'No stone left unturned'. Kwenye kilimo sina cha kusema nadhani kila mtu anajua ongezeko la bajeti zaidi yaa 100% ya bajeti ya 2021/2022.

Kwenye elimu ndio habari, madarasa zaidi ya 15,000 ya shule za sekondari na shule za msingi yamejengwa ndani ya miezi mitatu tu. Kwa mara kwa kwanza katika historia ya nchi hii, hakuna mtoto alibaki nyumbani kusubiria majibu ya awamu ya pili baada ya matokeo kutangazwa, bali kila mtoto alipata darasa na alipata kiti na meza, na hakuna ada. Mama kaondoa kabisa ada ya kidato cha tano na sita na wanafunzi wa vyuo vikuu wameboreshewa zaidi mazingira ya mkopo wao wa elimu ya juu.

Katika afya, hivi sasa kila kuna mkakati wa kujenga zahanati kwenye kila tarafa na kuna nyingine tayari zimeshajengwa huku kila wilaya ikitengewe bil. 500 kupata hospitali ya Wilaya, Mama etu huyo, tunataka kitu gani watanzania?

Nina sababu zaidi milioni moja za kumsapoti Mama. Muda hautoshi kuzieleza hapa, ila kadiri siku zinavyokwenda mbele nitakuwa natoa kadhaa kama leo, hadi zitimie milioni 1. Ombi langu usicheze mbali na ukurasa huu kwa dondoo za kila siku.
Hizi ndizo zile akili ndogo alizosema Hangaya.
 
Ukimchukia au kama humpendi Rais Samia Suluhu uwe na sababu. Sio sababu tu, bali sababu za msingi ambazo unaweza kuzijengea hoja nzito na kila mja akakuelewa.

Kimsingi Rais Samia ndani ya siku 495 za Urais wake, amefanya makubwa katika kila sekta, wazungu wanasema 'No stone left unturned'. Kwenye kilimo sina cha kusema nadhani kila mtu anajua ongezeko la bajeti zaidi yaa 100% ya bajeti ya 2021/2022.

Kwenye elimu ndio habari, madarasa zaidi ya 15,000 ya shule za sekondari na shule za msingi yamejengwa ndani ya miezi mitatu tu. Kwa mara kwa kwanza katika historia ya nchi hii, hakuna mtoto alibaki nyumbani kusubiria majibu ya awamu ya pili baada ya matokeo kutangazwa, bali kila mtoto alipata darasa na alipata kiti na meza, na hakuna ada. Mama kaondoa kabisa ada ya kidato cha tano na sita na wanafunzi wa vyuo vikuu wameboreshewa zaidi mazingira ya mkopo wao wa elimu ya juu.

Katika afya, hivi sasa kila kuna mkakati wa kujenga zahanati kwenye kila tarafa na kuna nyingine tayari zimeshajengwa huku kila wilaya ikitengewe bil. 500 kupata hospitali ya Wilaya, Mama etu huyo, tunataka kitu gani watanzania?

Nina sababu zaidi milioni moja za kumsapoti Mama. Muda hautoshi kuzieleza hapa, ila kadiri siku zinavyokwenda mbele nitakuwa natoa kadhaa kama leo, hadi zitimie milioni 1. Ombi langu usicheze mbali na ukurasa huu kwa dondoo za kila siku.
Mimi nimefungua uzi, nikitaka soma hizo sababu kuanzia moja mpaka milioni.

Naona ushuzi tu, zitaje bwashee tuzione.
 
Ukimchukia au kama humpendi Rais Samia Suluhu uwe na sababu. Sio sababu tu, bali sababu za msingi ambazo unaweza kuzijengea hoja nzito na kila mja akakuelewa.

Kimsingi Rais Samia ndani ya siku 495 za Urais wake, amefanya makubwa katika kila sekta, wazungu wanasema 'No stone left unturned'. Kwenye kilimo sina cha kusema nadhani kila mtu anajua ongezeko la bajeti zaidi yaa 100% ya bajeti ya 2021/2022.

Kwenye elimu ndio habari, madarasa zaidi ya 15,000 ya shule za sekondari na shule za msingi yamejengwa ndani ya miezi mitatu tu. Kwa mara kwa kwanza katika historia ya nchi hii, hakuna mtoto alibaki nyumbani kusubiria majibu ya awamu ya pili baada ya matokeo kutangazwa, bali kila mtoto alipata darasa na alipata kiti na meza, na hakuna ada. Mama kaondoa kabisa ada ya kidato cha tano na sita na wanafunzi wa vyuo vikuu wameboreshewa zaidi mazingira ya mkopo wao wa elimu ya juu.

Katika afya, hivi sasa kila kuna mkakati wa kujenga zahanati kwenye kila tarafa na kuna nyingine tayari zimeshajengwa huku kila wilaya ikitengewe bil. 500 kupata hospitali ya Wilaya, Mama etu huyo, tunataka kitu gani watanzania?

Nina sababu zaidi milioni moja za kumsapoti Mama. Muda hautoshi kuzieleza hapa, ila kadiri siku zinavyokwenda mbele nitakuwa natoa kadhaa kama leo, hadi zitimie milioni 1. Ombi langu usicheze mbali na ukurasa huu kwa dondoo za kila siku.
Huna uhalisia katika hoja zako kama ambavyo hutaweza kutaja sababu milioni moja za kumsapoti dada Samia.

Ukiona rais anatetewa ujue anavurunda.
 
Ukimchukia au kama humpendi Rais Samia Suluhu uwe na sababu. Sio sababu tu, bali sababu za msingi ambazo unaweza kuzijengea hoja nzito na kila mja akakuelewa.

Kimsingi Rais Samia ndani ya siku 495 za Urais wake, amefanya makubwa katika kila sekta, wazungu wanasema 'No stone left unturned'. Kwenye kilimo sina cha kusema nadhani kila mtu anajua ongezeko la bajeti zaidi yaa 100% ya bajeti ya 2021/2022.

Kwenye elimu ndio habari, madarasa zaidi ya 15,000 ya shule za sekondari na shule za msingi yamejengwa ndani ya miezi mitatu tu. Kwa mara kwa kwanza katika historia ya nchi hii, hakuna mtoto alibaki nyumbani kusubiria majibu ya awamu ya pili baada ya matokeo kutangazwa, bali kila mtoto alipata darasa na alipata kiti na meza, na hakuna ada. Mama kaondoa kabisa ada ya kidato cha tano na sita na wanafunzi wa vyuo vikuu wameboreshewa zaidi mazingira ya mkopo wao wa elimu ya juu.

Katika afya, hivi sasa kila kuna mkakati wa kujenga zahanati kwenye kila tarafa na kuna nyingine tayari zimeshajengwa huku kila wilaya ikitengewe bil. 500 kupata hospitali ya Wilaya, Mama etu huyo, tunataka kitu gani watanzania?

Nina sababu zaidi milioni moja za kumsapoti Mama. Muda hautoshi kuzieleza hapa, ila kadiri siku zinavyokwenda mbele nitakuwa natoa kadhaa kama leo, hadi zitimie milioni 1. Ombi langu usicheze mbali na ukurasa huu kwa dondoo zaKiiku.
Kwenye mishahara mama angekuwa mkweli tu.

Kwamba watu wasitumainie kuliko Hali ya 23.3


Kumbuka gharama S maisha zimepaa, alichokuwa anatakiwa akifanye, ni ku substize Ili kutoa unafuu Kwa watumishi kw kuwa baada ya kuweka Tsh bil 100 na mengine Kwa wafanyabiashara, ilikuwa zamu ya watumishi ambao wamepandishiwa gharama kila eneo.

Kw Sasa watumishi wanafidia Hali wapi ngumu iliyopo kupitia vi Tsh 23.3 Kwa wankima Cha chini??
 
Kwenye mishahara mama angekuwa mkweli tu.

Kwamba watu wasitumainie kuliko Hali ya 23.3


Kumbuka gharama S maisha zimepaa, alichokuwa anatakiwa akifanye, ni ku substize Ili kutoa unafuu Kwa watumishi kw kuwa baada ya kuweka Tsh bil 100 na mengine Kwa wafanyabiashara, ilikuwa zamu ya watumishi ambao wamepandishiwa gharama kila eneo.

Kw Sasa watumishi wanafidia Hali wapi ngumu iliyopo kupitia vi Tsh 23.3 Kwa wankima Cha chini??
Nilichogundua ni kwamba watanzania wengi hamkumwelewa Mama. Mbona ilikuwa wazi kabisa, 23.3% ni kiwango cha chini cha mshahara. Shida ni kwamba vichwa ni vigumu sana kufanya mahesabu.
 
Acha ujinga, kama unazo hizo milioni Moja .


Ziandike hapa sababu milioni Moja

Mimi kwa Ushirikiano wa Uongozi wa JF, nitawatumia Milioni Moja, wakufikishie wewena

Na useme nikupe siku ngapi?
 
Hawa ndio walamba makalio wa awamu ya sita, yaani wale official walamba makalio wa jf.

Endeleeni tu kwani si kila mkilamba mnashibishwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom