jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,404
- 2,156
dogoo huu upuuzi ....PCM haitakii siasa ww pigaa shulee tuuu narudiaa tenaa pigaa shulee....shulee kubwaa mwisho form four hkoo hkuu advance msulii wako tuuu...hakuna kipaji wlaa private.... kama ww kilazaa utaachwaa tuuu hamna namnaIla Boi naskia jina LA shule ni muhim katika ushaishaji kaka ndo nimefocus apo watakavyosahisha mzumbe sio kama nanga kaka