robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 2,973
- 3,052
Damascus Syria, Yemen na Congo ambako korasi na burudani zao ni. mabomu na risasi bado raia wanaishi seuze Tanzania.Usalama wa mtu hauangalii wadhifa wake ndug. Unaweza kuwa raia wa kawaida na usalama wako ukawa hatarini kupitia wasiojulikana, panya road nk hasa wanapopata taarifa kwamba umetoka ukubwani
acha kututangazia mabaya huko 'ukubwani'
basi njoo na ulinzi binafsi kutoka CIA, FBI na Scotland Yard!
Sent using Jamii Forums mobile app