Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
- Thread starter
- #121
We ndo huyuView attachment 1148672
Ujinga huu
We ndo huyuView attachment 1148672
Nafikiri amekuelewa vyema, wakati hujao siyo wa masihara kabisaHili ni tangazo la biashara, all the same kuna age wanawake wanaangalia sura, ikivuka hiyo age wanawake wote wanaanza kuangalia wallet na bank account, mambo ya sura ni ya muda mfupi sana anza kutunisha wallet na bank account yako, usipofanya hivyo utashindwa kukaa na mwanamke ata kwa sekunde moja. Kunakokuja ni kugumu zaidi bwana mdogo.
I beg to differ Sidhani kama kuna umri mwanaume anaanza kutovutiwa na wanawake wazuri I think the same applies to women. Kinachobadilika ni uwepo hao watu mf : hao wanakuwa described kama handsome boi or whatever unakuta wapo 2 katika watu 500 au hata elfu. Nimechukulia mfano wa kwenye shule/chuo sasa watu mamia wote watawezAje kuwa na hao watu wawili.Hili ni tangazo la biashara, all the same kuna age wanawake wanaangalia sura, ikivuka hiyo age wanawake wote wanaanza kuangalia wallet na bank account, mambo ya sura ni ya muda mfupi sana anza kutunisha wallet na bank account yako, usipofanya hivyo utashindwa kukaa na mwanamke ata kwa sekunde moja. Kunakokuja ni kugumu zaidi bwana mdogo.