Niliwahi fanya biashara ya kulangua kuku handen nauzia wafugaji online tu tena groups za wafugaji fb nlipga sn hela, nimesema hili nkimaanisha fanya biashara kwa kutumia robo ya pesa uliyonayo kwanza uskurupuke kuwekeza pesa yote hakika utajuta sku zote za maisha yako.
Ingia fb search groups za wafugaji wa kuku ksha u join angalia zenye watu wengi. Ukikamilisha zoez hlo, zoez la pili nenda handeni jmos maana jpl asbh sn jiran na stand huwa kuna mnada wa kuku kila jpl wapo kuku size zote, hakiksha unalala huko maana mnada huwa n asbh sn. Pga pcha kuku kadhaa wadogo kwa wakubwa ukiwa umeshaulza bei ksha tangaza kwny groups zote ulizojoin uweke na bei yako sasa. Pcha kuku size zote utapata oda papo kwa hapo na wengne ndan ya sku 2 utakua umeuza wote hakiksha kuku ni pure kienyeji usnunue chotara maana wafugaji weng dar wana machotara. Khs kusafirisha hapo hapo mnadan wanauza matenga mazuri sn elf 2 kwa 3, unapakia kwny bus kwny buti wanafka vzuri sn hakiksha unapanda bus ambalo halijachoka usje pakia kwny bus ambalo liktembea moshi unajaa kwny buti itakula kwako. NB: DILI NA WAFUGAJI TU ACHANA NA WALAJI WATAKUSUMBUAHabari unaeza nipa muongozo tafadhali
Kwanin mwaka mzima? Miez minne haitoshi ? Au biashara haina faida ya kutosha?Huko Huko Mbezi Tafuta Fremu anza na vitu vidogo vidogi vya umeme
Balbu, Chaji za simu, feni, nk
Anxa kidogo kidogo na heshimu mtaji kwa mwaka mzima ujinyime haswaa
Kwanin mwaka mzima? Miez minne haitoshi ? Au biashara haina faida ya kutosha?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
SahihiNiliwahi fanya biashara ya kulangua kuku handen nauzia wafugaji online tu tena groups za wafugaji fb nlipga sn hela, nimesema hili nkimaanisha fanya biashara kwa kutumia robo ya pesa uliyonayo kwanza uskurupuke kuwekeza pesa yote hakika utajuta sku zote za maisha yako.
Samahani ulikuwa unauza bei gan kwa wewe hao kuku Kuna jambo nataka kujifunzaIngia fb search groups za wafugaji wa kuku ksha u join angalia zenye watu wengi. Ukikamilisha zoez hlo, zoez la pili nenda handeni jmos maana jpl asbh sn jiran na stand huwa kuna mnada wa kuku kila jpl wapo kuku size zote, hakiksha unalala huko maana mnada huwa n asbh sn. Pga pcha kuku kadhaa wadogo kwa wakubwa ukiwa umeshaulza bei ksha tangaza kwny groups zote ulizojoin uweke na bei yako sasa. Pcha kuku size zote utapata oda papo kwa hapo na wengne ndan ya sku 2 utakua umeuza wote hakiksha kuku ni pure kienyeji usnunue chotara maana wafugaji weng dar wana machotara. Khs kusafirisha hapo hapo mnadan wanauza matenga mazuri sn elf 2 kwa 3, unapakia kwny bus kwny buti wanafka vzuri sn hakiksha unapanda bus ambalo halijachoka usje pakia kwny bus ambalo liktembea moshi unajaa kwny buti itakula kwako. NB: DILI NA WAFUGAJI TU ACHANA NA WALAJI WATAKUSUMBUA
M4 zitatosha kweli ?Fungua hardware uchwara.
Jaza makoro Koro kibao ya vitu vya hardware.
Vya Bomba,na umeme,wavu,Miko ,patasi,tindo,misumemeno,pima maji, Manila zote,kufuli,vitasa n.k
Nimesema hardware uchwara kwa maana ukitaka kufungua hardware yenyewe usikose milioni 50.
Hapo kidoogo unaweza ukasema umefungua hardware
Mkuu mbona sku ya mnada nimeweka hapo n jpl asubuhi sn. Bei ya kununulia inategemea na size na umri wa kuku, thaman ya kuku kwa wafugaji n umri.,kifaranga wa miez 2 mi nlikua namnunua kwa elf 2 nauza elf 5 mpk 6, jogoo anayepanda nanunua elf 9 mpk 10 nauza elf 15 mpk 20 hakiksha kuku wasiwe wazee maana ni wa mbegu bora ununue vfaranga tu wadogo kuliko kuchukua makuku mazee maana we huuzii walaji. Tetea anayepandwa nlikua nanunua elf 8 mpk 9 nauza elf 15 mpk 18, wale ambao bdo hawajaanza kupandwa ila wanaelekea nlikua nanunua elf 5 mpk 6 nauza 10 mpk 12. Usafiri tenga la kuku enz hzo kwny bus nlikuwa nasafirisha kwa elf 5 tu handen to dar ilikuwa mwaka 2017-18.Samahani ulikuwa unauza bei gan kwa wewe hao kuku Kuna jambo nataka kujifunza
Bei ya kununua na kuuza
Pia gharama za usafili zipoje na siku gan huwa Kuna minada huko
Asante
Alianza na vitu vya kawaida inatosha.aache nondo,bati,cement na vitu vinavyotaka hela nyingi.hardware ndogo ukikaa sehemu nzuri ina hela
Bado unafanya hizo harakatiNiliwahi fanya biashara ya kulangua kuku handen nauzia wafugaji online tu tena groups za wafugaji fb nlipga sn hela, nimesema hili nkimaanisha fanya biashara kwa kutumia robo ya pesa uliyonayo kwanza uskurupuke kuwekeza pesa yote hakika utajuta sku zote za maisha yako.
Hapana mkuu npo kanda ya ziwa kwasasa nlipata kiajira bt najuta sn bora ningepambana tu maana nilishakuwa na mtandao mkubwa na experience ya magonjwa na dawa za kuku za ksasa na kienyeji nlikuwa nina mpango wa kuuza nyama ya kuku wa kienyeji online yan mtu aktaka nyama ya kuku robo, nusu au mzma ananicheck namtengenezea analipia usafiri mzgo nampelekea bt tamaa za kuajiriwa zlifuta ndoto zangu.Bado unafanya hizo harakati
Hii ni biashara nzuri kwa wazoefu sana na wenye idea moja mbili ya kuku kama hujawah hata kufuga kuku acha.Ingia fb search groups za wafugaji wa kuku ksha u join angalia zenye watu wengi. Ukikamilisha zoez hlo, zoez la pili nenda handeni jmos maana jpl asbh sn jiran na stand huwa kuna mnada wa kuku kila jpl wapo kuku size zote, hakiksha unalala huko maana mnada huwa n asbh sn. Pga pcha kuku kadhaa wadogo kwa wakubwa ukiwa umeshaulza bei ksha tangaza kwny groups zote ulizojoin uweke na bei yako sasa. Pcha kuku size zote utapata oda papo kwa hapo na wengne ndan ya sku 2 utakua umeuza wote hakiksha kuku ni pure kienyeji usnunue chotara maana wafugaji weng dar wana machotara. Khs kusafirisha hapo hapo mnadan wanauza matenga mazuri sn elf 2 kwa 3, unapakia kwny bus kwny buti wanafka vzuri sn hakiksha unapanda bus ambalo halijachoka usje pakia kwny bus ambalo liktembea moshi unajaa kwny buti itakula kwako. NB: DILI NA WAFUGAJI TU ACHANA NA WALAJI WATAKUSUMBUA