flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,860
- 6,339
Kilemba ndio nini wakuu tuelimishaneNimejaribu kufuatilia naambiwa kilemba kuachia frem huanzia hiyo hela 35mil
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilemba ndio nini wakuu tuelimishaneNimejaribu kufuatilia naambiwa kilemba kuachia frem huanzia hiyo hela 35mil
Hayo ya PM yametoka wapi tena mkuu???Muite PM ili umpe ushauri vizuri wa ku invest hio hela.
Hela ya anayekuachia fremuKilemba ndio nini wakuu tuelimishane
Duh aiseee yaani hiyo inakuwa tofauti na kodi ya fremu?Hela ya anayekuachia fremu
Chukua tiles Chalinze peleka Dom utanikumbukaWakuu nimebangaiza nimefanikiwa kuweka Milioni 35 nataka kuingia katika biashara Kariakoo, nifanye biashara gani?
Fremu tupu isiyokua na chochoteKilemba ni nini mkuu?.
Ile 2015 dec tuliachia kwa mil 60. Sasa hv kdg zimeshuka. Ila location mattersNimejaribu kufuatilia naambiwa kilemba kuachia frem huanzia hiyo hela 35mil
Unaona sasa hapo bado dalali aliyekupeleka anataka umtoe ..bado unakuta hujawa mzoefu wakuagiza mzigo unaotoka mapema ...yan k.koo mzunguko ni mkubwa ila ukiingia kimawenge utapoteza Pesa yote ..Nimejaribu kufuatilia naambiwa kilemba kuachia frem huanzia hiyo hela 35mil
Ahahahha eti anza kula 100-200k per day ...Me kwa nnavomuona mtoa mada ,alivompole atasumbuliwa mnoo na hiyo gari haitamlipa zaidi ya kumuumizaNUNUA KOSTA AMBAYO INA NJIA TAYARI AU HIZI HICHER kwa25-30 nyingine acha kama utakuwa umeshikishwa urekebishe anza kula 100-200 per day
Kilemba ndio nini mkuu?Umepiga hesabu nyepesi Sana mkuu,kilemba cha kuachiwa fremu ya vyombo hakipungui M 15-20 kwa fremu za ndani,za nje hata hiyo35M yake haitoshi kilemba.
Ni fremu iliyo tupu. Mfano mimi ndiye niliyekua nimeingia mkataba na mwenye nyumba na nataka kuachana na hiyo bishara sasa nataka niuze fremu ikiwa tupu. Yaan mzigo wangu na kila kitu changu nachukua. Nakuachia frem tupu. So kuhusu bei yake tunakubaliana mimi na wewe. Bado ya udalali. Na eneo linapokua potential zaidi ndo gharama inazidi kuwa juuKilemba ndio nini mkuu?
Funguka hapa hapa mkuu, wengine tunatafuta pesa nyingi na hatuna aidia ya biashara, wenda siku zikaingia tukakutafuta.Kuna biashara ya baharini humu sijaona watu wakizizungumzia.ila mtoa mada kama itakuwa poa kwako nifuate pm tuzumnguze vizur
Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Namshauri ajenge ghorofa hapo kariakoo.Mpaka unazipata Ni kweli ujajua Aina Ya Biashara?Otherwise ziwe fedha za Kurithi.
Kuwa serious kidogo mkuu
Nimekuelewa boss. Hivi kwa mfano mwenye nyumba akaamua kukwambia anataka fremu yake baada ya kodi yako kuisha, hicho kilemba atakupa mwenye nyumba au inakuaje???Ni fremu iliyo tupu. Mfano mimi ndiye niliyekua nimeingia mkataba na mwenye nyumba na nataka kuachana na hiyo bishara sasa nataka niuze fremu ikiwa tupu. Yaan mzigo wangu na kila kitu changu nachukua. Nakuachia frem tupu. So kuhusu bei yake tunakubaliana mimi na wewe. Bado ya udalali. Na eneo linapokua potential zaidi ndo gharama inazidi kuwa juu
Kweli kuingia kkoo si mchezoNi fremu iliyo tupu. Mfano mimi ndiye niliyekua nimeingia mkataba na mwenye nyumba na nataka kuachana na hiyo bishara sasa nataka niuze fremu ikiwa tupu. Yaan mzigo wangu na kila kitu changu nachukua. Nakuachia frem tupu. So kuhusu bei yake tunakubaliana mimi na wewe. Bado ya udalali. Na eneo linapokua potential zaidi ndo gharama inazidi kuwa juu
Si rahisi kihivyo. Unless otherwise amepandisha bei baada ya mkataba kuisha ama umeshindwa lipa kodi yako. Mtu hawezi kukutoa bila noticeNimekuelewa boss. Hivi kwa mfano mwenye nyumba akaamua kukwambia anataka fremu yake baada ya kodi yako kuisha, hicho kilemba atakupa mwenye nyumba au inakuaje???
Fedha unayompa aliyekuwa anafanya biashara kwenye fremu ili akupishe wewe mkuu.Hiyo ni nje ya kodi ya mwenye nyumbaKilemba ndio nini mkuu?