Abby92
Member
- Feb 8, 2019
- 7
- 21
Wakuu habari zenu, najua wengi humu ndani mnayo mawazo mazuri na wengine mnazo hadi experience (Uzoefu) wa baadhi ya mambo hasa katika biashara. Mimi ni mbobezi wa masuala ya Online (Mtandaoni) sasa nina kafungu cha mtaji wa milioni 20 nikawaza niwekeze kwenye biashara nje na field yangu ya kazi.
Mimi nipo Dar es salaam.
Wazo lililonijia ghafla ni kuwekeza katika duka la jumla la vyakula, yani nifungue duka la jumla litakalouza vitu kama mafuta ya kula, mchele, sukari, sabuni, unga nk. kwa jumla lakini. Nikasema ni share na huku labda naweza nikapata mawazo mazuri zaidi. Lengo ni kuwekeza kwenye biashara amabayo itanizalishia faida kwa speed (Haraka) na ambayo haitakuwa inanigharimu muda wangu. Yaani biashara ambayo ninaweza nikawa naisimamia hata kama nikiwa mbali.
Kama unawazo la biashara nyingine ambayo naweza kuifanya kwa mtaji wa Tsh milioni 20 nakukaribisha kwani mawazo yako ni muhimu sana kwangu na kwa wote watakao soma uzii huu.
Karibu.
Mimi nipo Dar es salaam.
Wazo lililonijia ghafla ni kuwekeza katika duka la jumla la vyakula, yani nifungue duka la jumla litakalouza vitu kama mafuta ya kula, mchele, sukari, sabuni, unga nk. kwa jumla lakini. Nikasema ni share na huku labda naweza nikapata mawazo mazuri zaidi. Lengo ni kuwekeza kwenye biashara amabayo itanizalishia faida kwa speed (Haraka) na ambayo haitakuwa inanigharimu muda wangu. Yaani biashara ambayo ninaweza nikawa naisimamia hata kama nikiwa mbali.
Kama unawazo la biashara nyingine ambayo naweza kuifanya kwa mtaji wa Tsh milioni 20 nakukaribisha kwani mawazo yako ni muhimu sana kwangu na kwa wote watakao soma uzii huu.
Karibu.