agricultural
New Member
- Oct 4, 2020
- 3
- 6
Milioni 2 naweza fanya biashara gani ambayo utanisaidia kupata pesa ya kula kila siku na akiba angalua 10000 kuweka?
Mimi ni single mama ninaehitaji kujishughulisha ili niishi vizuri na mwanangu.
======
Michango wa mdau
Mimi ni single mama ninaehitaji kujishughulisha ili niishi vizuri na mwanangu.
======
Michango wa mdau
Fikiri biashara ya something to do with food - mtu ni lazima ale kila siku... kwa hiyo tafuta eneo zuri anzisha Genge - yaani kiduka kisafii cha mbogamboga na matunda ya kila aina - kisha weka na nafaka kama Mchele, Unga wa ngano, Mahindi nk Mtaji wako wa 2m utatosha - Mil moja kwenye eneo la frem na 1m Mzigo.
Nakuhakikishia kwa siku hukosi faida ya 20,000 hadi 25,000 ambapo kwa mwezi ni Tshs. 600,000 hadi 700,000.