Mgahawa?Biashara ya chakula inakufaa
maeneo ambayo kuna taasisi kam shule au center nzur anza kuuza viaz vya kuaanga(CHIPS) au mihogo then soma biashara inavoendaMgahawa?
Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi namkaribisha tuyajenge, Niko DSM temeke mtoni kwa azizi AliNiaje wanajamvini?
Nina mtaji wa mil.2 ninahitaji wazo la biashara itakayoingiza atleast 20 kwa siku.
Yeyote mwenye uzoefu na makadirio ya mtaji, shughuli husika na faida yake anijuze
Nenda FINCA ukakope hela, riba haifiki 100%Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi namkaribisha tuyajenge, Niko DSM temeke mtoni kwa azizi Ali
Nb;ukinipa hyo 2M nitakurejeshea 4M kwa muda tutakaokubaliana kufanya hayo marejesho.Asante
Naomba unisaidie vigezo vyao vya kutoa mkopo kama unavijua, please nisaidie nahitaji kweli mkopo, na ndio maana hapo nikaweka hyo hata kwa riba ya asilimi 100% Niko tayali coz nahitaji, it means kwamba kila shingi moja atakayonipa mm basi izae shingi moja hyo ndio maana yangu kubwa hapo
Wew tafuta zako unakuwaje na wazo bila pesa badili hilo wazo kuwa pesa.Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi namkaribisha tuyajenge, Niko DSM temeke mtoni kwa azizi Ali
Nb;ukinipa hyo 2M nitakurejeshea 4M kwa muda tutakaokubaliana kufanya hayo marejesho.Asante
Hhm hapo inategemea mzunguko mkubwaaaaa sana asee, Millioni 2 labda utoe huduma za kimtandao tu, za kibenki usitoe, na hata ufanye miamala kiasi gani ni ngumu saaana kufukisha hiyo kamisheni ya 20k kwa siku,Tafuta location nzur fugua mpesa
Tafuta phone accesories huta jutia hyo biashara na uo n mtaj mkubwa sanaHabari za jioni wanajukwaa,
Ninafikiria Biashara ya kufanya kwa Mtaji nilionao wa Million 2.5 mpaka million 3. Hivyo naomba ushauri wenu na mawazo yenu, kulingana na Hali ya maisha ya Sasa.
Naomba kuwasilisha.
Kwa bei ya jumla naweza kuzipata wapi hizo bidhaa?Tafuta phone accesories huta jutia hyo biashara na uo n mtaj mkubwa sana
Inategemeana na ww uko wapKwa bei ya jumla naweza kuzipata wapi hizo bidhaa?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inategemea na ww unataka nn na nn mana kila bdhaa ina prce yake
Phone accesories km charger,betri,memory card na flashInategemea na ww unataka nn na nn mana kila bdhaa ina prce yake