Ramadhan Yazid
Member
- Oct 1, 2019
- 6
- 3
Nina mtaji wa milioni 1, nataka kufanya biashara ya nguo kwa hapa Dar es Salaam. Je, nifanye nini kwanza cha msingi?
Mchango wa mdau
Mchango wa mdau
Kila la kheri.
Anza na nguo za kike..tembelea vyuoni na Kama ofisi iwe maeneo ya changanyikeni Sana..Tumia mtandao wa insta kupromote biashara yako.
Mzigo waweza chukulia boma kwa kudamka saa kumi kuchukua moja Mona au waweza kwenda mnazi mmoja Kuna sehemu wanatoa balo za uhakika..Kama upo Dar
Bei isiwabane Sana wateja wako..tembelea maofisini napo wateja wa kike ni wengi.
Ukitaka kuwavutia zaidi fua nguo inyooshe..iwe classic zaidi..hapo hata wakishua unaweza wapiga pesa ndefu.