Nina mtaji wa milioni 1.5 nataka kufungua biashara hii, wazoefu nahitaji mawazo yenu

Mkuu vipi ulifanikiwa
Baada ya kutulia na kufikiri sana, nikapata wazo la kufungua biashara ya vitu vya electronics sijui kama nipo sahihi. Vitu hivyo ni kama:
  • Flash drive
  • Memory card
  • USB wire
  • Charger
  • Card reader
  • Power bank
  • Min speaker
  • Bluetooth earphone
  • Hair cutting machine
  • External and Internal hard disk
  • Protector za simu pamoja na cover
  • Battery za simu na vioo
  • Gaming pad, na vitu kama hivyo
Mimi nipo mkoani nimepata uzoefu wa kuagiza hii mizigo kutoka Ali Express na mizigo yote imefika salama.

Sasa mpangilio upo hivi, mfano flash ya Toshiba GB 32 Ali Express unapata kwa 13,900 yenyewe 11,000 na usafiri (shipping) 2,900 mimi nitauza kwa elfu 25, maelewano pia yapo.

San Disk GB 16 Express inauzwa elfu 6 hadi 7 mimi nitaanza na elfu 15. Maelewano ya kushuka yapo kiasi.
 
View attachment 1328813

tusapotiane vjana
vunjabei wa bluetooth earphones

follow me on ig Baraka_gadgets

Haylou gt1 95k tu
Airpods 2 95k tu
Jho A9 90k

Airpods cases silicone 7k tu

hutopata sehem nyingne bei hz wahi mapema


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwani tatizo liko wapi? Kama ukijua anapochukulia utaweza kujua anapouzia? Hii ni nzuri kwani inawasaidia na wengine kufanya kile anachofanya kwa njia wanaoijua wao.. Tusiwe wa binafsi.
Ubinafsi aufai wenye kuweza Ku copy wacopy nao wafanikiwe Jeff alileta forex wapo waliofanikiwa kupitia iyo ambao awakua wakijua chochote
 
Back
Top Bottom