Nina mpango wa kwenda Kampala, naomba kupewa ABC's ZA Kampala-Uganda

JAY-JOE

Member
Sep 2, 2016
18
7
Wadau I hope mko poa kabisa.

Siku chache zijazo nitasafiri kikazi kwenda Kampala Uganda na nitakuwa huko kwa muda wa wiki 2!

Ni mahali ambapo sijawahi kufika tangu kuumbwa kwa dunia. Naomba mwenye uzoefu na mji wa Kampala anipe angalau ABCs za maisha huko ili angalau niwe na idea fulani fulani nifikapo huko.
 
Ni rahisi tu mambo yao Kama DSM. Na hapajachangamka kuzidi Nairobi hope umenielewa. Kikubwa no kujali kitakachokupeleka kwani Waganda no waerevu waweza tapeliwa usipotegemea
 
Maisha kama bongo tu ila tofauti wana vyakula ambavyo hapa Tz huwezi kuvipata!ndizi wanaita matooke ila upikaji wao ni tofauti na zinaliwa na uji flani wa karanga ambao unaitwa binyebwa na daladala kule wanaita tax na kama ukienda ukitaka kubadilisha pesa sio lazima uende beauro de change kuna wakenya na wabongo wengi wanabadilisha pesa hata kama ni million 10 utapata! Na national language yao ni kingereza so usishangae ukimkuta kila raia wanabonga ngeli ni hayo tu mengine watajazia wengine
 
Ahsante Dontrice


Maisha kama bongo tu ila tofauti wana vyakula ambavyo hapa Tz huwezi kuvipata!ndizi wanaita matooke ila upikaji wao ni tofauti na zinaliwa na uji flani wa karanga ambao unaitwa binyebwa na daladala kule wanaita tax na kama ukienda ukitaka kubadilisha pesa sio lazima uende beauro de change kuna wakenya na wabongo wengi wanabadilisha pesa hata kama ni million 10 utapata! Na national language yao ni kingereza so usishangae ukimkuta kila raia anabonga ngeli ni hayo tu mengine watajazia wengine
 
Ugelifunguka zaidi ingelisaidia sana kwa mfano. Je utakwenda na ndege ama bus? Je utajitafutia hotel/guest house mwenyewe ama mmepangiwa hotel ya kukaa? Je mtafanyia wapi hiyo shughuli? Je ni Kampala kweli ama Entebbe? Maana wengi huwa hawawezi kutofautisha kwa sababu miji hii iko karibu sana. Pamoja na hayo napenda kukueleza kwa uchache kuhusiana na Kampala kama ifuatvyo;

1. Kampala ni jiji kubwa na lina mambo mengi kama ilivyo Dar es Salaam
2. Jiji halilali, watu hukesha wakifanya kazi ama starehe tofauti na ilivyo Dar es Salaam ikifika muda fulani hutulia.
3. Malls ama maduka makubwa kwa ajili ya watu wa hali ya chini yako mengi mno Dar inazidiwa mbali sana.
4. Maduka makubwa Malls mfano wa Mlimani City kwa watu wa hali ya kipato cha juu na kati ni mengi mno tofauti na Dar es Salaam
5. Waganda ni wachapa kazi sana kiukweli wanatuzidi sana.
6. Waganda wanakula sana; hupendelea vyakula vya asili, hawaweki mafuta; hali hii huwafanya wawe na maumbo makubwa na ya kuvutia
7. Waganda wana neema ya vyakula kwani viko vingi sana; magimbi, ndizi, samaki, n.k
8. Waganda wana nguvu na wanapenda sana kufanya mapenzi
9. Waganda huzaliana sana
10. Waganda huongea Luganda, Lunyankore, na Kiingereza kwa wachache hasa kwa wasomi na watu wa hali ya juu
11. Waganda hawajui Kiswahili isipokuwa kwa wachache hasa askari na wanajeshi
12. Uganda kuna amani sana tofauti na inavyochukuliwa huku Tanzania
13. Usalama ni wa hali ya juu unaweza kutembea usiku katikati ya kampala usiku wa manane usipatwe na tatizo
14. Hakuna mtu atakayekuuliza passport ukiwa ndani Uganda isipokuwa mpakani au airpot
15. Waganda huwapenda sana Watanzania japokuwa nchi yetu kama wanaiweka kushoto kidogo; Kenya imewakaa sana.
16. Kuna maeneo ya watu wa chini na ya wa juu - usipotaka bugudha tembelea maeneo ya Sheratoni, Serena na karibu na Ikulu ya kampala kuna wanawake wanajipanga barabarani kujiuza
17. Pia waweza enda Kabalagala kwa starehe za usiku - machangu wa kinyarwanda ni wa kufa mtu
18. Club za hali ya juu ni kama Guvnor; Ambiance ni kwa watu wa mjini
19. Kampala ina mambo mengi ndugu yangu biashara iko juu sana na watu wanapata faida
20. Maisha ni rahisi kwa kampala Entebbe ni mji wa wenye hela maisha yako juu sana
21. Bidhaa ziko nyingi sana na bei ni rahisi sana
22. Shilingi 1 ya TZ ni sawa na Shilingi 1.5 ya Ug
23. kama una la zaidi na la privacy please inbox me nitakufahamisha zaidi
24. Kuna club wanacheza uchi na kufanya mapenzi huku watu wakitazama kama show
25. Kimsingi Museveni amewapa uhuru mkubwa sana waganda hasa katika kufanya biashara tofauti na TZ. Kule mtu anaanza kwanza biashara kodi analipa baadaye akiwa sawa.
26. Hakika utafurahi sana
27. Usafiri mkuu huko ni pikipiki ni nyingi mno mpaka kero ila ndo utamaduni wa huko kama ilivyo kwetu sisi wasukuma na baiskeli ama watu wa Uholanzi na baiskeli.
28. Hali hiyo hapo namba 27 inafanya kuwe na foleni isiyo ya lazima. Pia kuna daladala wao huita tax, tax wao huita special.
29. Usiogope kupanda pikipiki marider wako vizuri sana pia huheshimiwa na wenye magari.
 
Ugelifunguka zaidi ingelisaidia sana kwa mfano. Je utakwenda na ndege ama bus? Je utajitafutia hotel/guest house mwenyewe ama mmepangiwa hotel ya kukaa? Je mtafanyia wapi hiyo shughuli? Je ni Kampala kweli ama Entebbe? Maana wengi huwa hawawezi kutofautisha kwa sababu miji hii iko karibu sana. Pamoja na hayo napenda kukueleza kwa uchache kuhusiana na Kampala kama ifuatvyo;

1. Kampala ni jiji kubwa na lina mambo mengi kama ilivyo Dar es Salaam
2. Jiji halilali, watu hukesha wakifanya kazi ama starehe tofauti na ilivyo Dar es Salaam ikifika muda fulani hutulia.
3. Malls ama maduka makubwa kwa ajili ya watu wa hali ya chini yako mengi mno Dar inazidiwa mbali sana.
4. Maduka makubwa Malls mfano wa Mlimani City kwa watu wa hali ya kipato cha juu na kati ni mengi mno tofauti na Dar es Salaam
5. Waganda ni wachapa kazi sana kiukweli wanatuzidi sana.
6. Waganda wanakula sana; hupendelea vyakula vya asili, hawaweki mafuta; hali hii huwafanya wawe na maumbo makubwa na ya kuvutia
7. Waganda wana neema ya vyakula kwani viko vingi sana; magimbi, ndizi, samaki, n.k
8. Waganda wana nguvu na wanapenda sana kufanya mapenzi
9. Waganda huzaliana sana
10. Waganda huongea Luganda, Lunyankore, na Kiingereza kwa wachache hasa kwa wasomi na watu wa hali ya juu
11. Waganda hawajui Kiswahili isipokuwa kwa wachache hasa askari na wanajeshi
12. Uganda kuna amani sana tofauti na inavyochukuliwa huku Tanzania
13. Usalama ni wa hali ya juu unaweza kutembea usiku katikati ya kampala usiku wa manane usipatwe na tatizo
14. Hakuna mtu atakayekuuliza passport ukiwa ndani Uganda isipokuwa mpakani au airpot
15. Waganda huwapenda sana Watanzania japokuwa nchi yetu kama wanaiweka kushoto kidogo; Kenya imewakaa sana.
16. Kuna maeneo ya watu wa chini na ya wa juu - usipotaka bugudha tembelea maeneo ya Sheratoni, Serena na karibu na Ikulu ya kampala kuna wanawake wanajipanga barabarani kujiuza
17. Pia waweza enda Kabalagala kwa starehe za usiku - machangu wa kinyarwanda ni wa kufa mtu
18. Club za hali ya juu ni kama Guvnor; Ambiance ni kwa watu wa mjini
19. Kampala ina mambo mengi ndugu yangu biashara iko juu sana na watu wanapata faida
20. Maisha ni rahisi kwa kampala Entebbe ni mji wa wenye hela maisha yako juu sana
21. Bidhaa ziko nyingi sana na bei ni rahisi sana
22. Shilingi 1 ya TZ ni sawa na Shilingi 1.5 ya Ug
23. kama una la zaidi na la privacy please inbox me nitakufahamisha zaidi
24. Kuna club wanacheza uchi na kufanya mapenzi huku watu wakitazama kama show
25. Kimsingi Museveni amewapa uhuru mkubwa sana waganda hasa katika kufanya biashara tofauti na TZ. Kule mtu anaanza kwanza biashara kodi analipa baadaye akiwa sawa.
26. Hakika utafurahi sana
27. Usafiri mkuu huko ni pikipiki ni nyingi mno mpaka kero ila ndo utamaduni wa huko kama ilivyo kwetu sisi wasukuma na baiskeli ama watu wa Uholanzi na baiskeli.
28. Hali hiyo hapo namba 27 inafanya kuwe na foleni isiyo ya lazima. Pia kuna daladala wao huita tax, tax wao huita special.
29. Usiogope kupanda pikipiki marider wako vizuri sana pia huheshimiwa na wenye magari.


Very supportive reply !

Ng'wadela nkoi. Watomama ngima sana.

-Kaveli-
 
Ukitaka guest za bei rahisi ulizia mitaa ya eagles nest secondary na vyakula hapo ni bei rahisi pia
 
Ukitaka guest za bei rahisi ulizia mitaa ya eagles nest secondary na vyakula hapo ni bei rahisi pia
Kampala ni mji una mabonde Na milima. Kuna vumbi kama Moro. Vyakula mhh kujichana kama Dar chips kuku, mishkaki, nyama choma utatafuta sana. Utaishia kula matoke ya kusonga na maharage. Watu si wakarimu usiulize ulize ovyo. Ongea English Kiswahili wanakiponda. Si ajabu ukafokewa na mtu, I don't speak Swahili". Daladala zinaitwa Tax nyingi ni aina ya Hiace tena ni level seat. Ukitoa nauli 10tau unapata balance hapo hapo. Chenji huita Balance. Tax huitwa Special. Bodaboda kila kijana anamiliki ziko nyingi sana ni usafiri Wa mjini wa kuaminika.
 
Maisha kama bongo tu ila tofauti wana vyakula ambavyo hapa Tz huwezi kuvipata!ndizi wanaita matooke ila upikaji wao ni tofauti na zinaliwa na uji flani wa karanga ambao unaitwa binyebwa na daladala kule wanaita tax na kama ukienda ukitaka kubadilisha pesa sio lazima uende beauro de change kuna wakenya na wabongo wengi wanabadilisha pesa hata kama ni million 10 utapata! Na national language yao ni kingereza so usishangae ukimkuta kila raia wanabonga ngeli ni hayo tu mengine watajazia wengine
Ahsante sana Tojo! Nitakomaa na vyakula vyao tu!!
 
Ugelifunguka zaidi ingelisaidia sana kwa mfano. Je utakwenda na ndege ama bus? Je utajitafutia hotel/guest house mwenyewe ama mmepangiwa hotel ya kukaa? Je mtafanyia wapi hiyo shughuli? Je ni Kampala kweli ama Entebbe? Maana wengi huwa hawawezi kutofautisha kwa sababu miji hii iko karibu sana. Pamoja na hayo napenda kukueleza kwa uchache kuhusiana na Kampala kama ifuatvyo;

1. Kampala ni jiji kubwa na lina mambo mengi kama ilivyo Dar es Salaam
2. Jiji halilali, watu hukesha wakifanya kazi ama starehe tofauti na ilivyo Dar es Salaam ikifika muda fulani hutulia.
3. Malls ama maduka makubwa kwa ajili ya watu wa hali ya chini yako mengi mno Dar inazidiwa mbali sana.
4. Maduka makubwa Malls mfano wa Mlimani City kwa watu wa hali ya kipato cha juu na kati ni mengi mno tofauti na Dar es Salaam
5. Waganda ni wachapa kazi sana kiukweli wanatuzidi sana.
6. Waganda wanakula sana; hupendelea vyakula vya asili, hawaweki mafuta; hali hii huwafanya wawe na maumbo makubwa na ya kuvutia
7. Waganda wana neema ya vyakula kwani viko vingi sana; magimbi, ndizi, samaki, n.k
8. Waganda wana nguvu na wanapenda sana kufanya mapenzi
9. Waganda huzaliana sana
10. Waganda huongea Luganda, Lunyankore, na Kiingereza kwa wachache hasa kwa wasomi na watu wa hali ya juu
11. Waganda hawajui Kiswahili isipokuwa kwa wachache hasa askari na wanajeshi
12. Uganda kuna amani sana tofauti na inavyochukuliwa huku Tanzania
13. Usalama ni wa hali ya juu unaweza kutembea usiku katikati ya kampala usiku wa manane usipatwe na tatizo
14. Hakuna mtu atakayekuuliza passport ukiwa ndani Uganda isipokuwa mpakani au airpot
15. Waganda huwapenda sana Watanzania japokuwa nchi yetu kama wanaiweka kushoto kidogo; Kenya imewakaa sana.
16. Kuna maeneo ya watu wa chini na ya wa juu - usipotaka bugudha tembelea maeneo ya Sheratoni, Serena na karibu na Ikulu ya kampala kuna wanawake wanajipanga barabarani kujiuza
17. Pia waweza enda Kabalagala kwa starehe za usiku - machangu wa kinyarwanda ni wa kufa mtu
18. Club za hali ya juu ni kama Guvnor; Ambiance ni kwa watu wa mjini
19. Kampala ina mambo mengi ndugu yangu biashara iko juu sana na watu wanapata faida
20. Maisha ni rahisi kwa kampala Entebbe ni mji wa wenye hela maisha yako juu sana
21. Bidhaa ziko nyingi sana na bei ni rahisi sana
22. Shilingi 1 ya TZ ni sawa na Shilingi 1.5 ya Ug
23. kama una la zaidi na la privacy please inbox me nitakufahamisha zaidi
24. Kuna club wanacheza uchi na kufanya mapenzi huku watu wakitazama kama show
25. Kimsingi Museveni amewapa uhuru mkubwa sana waganda hasa katika kufanya biashara tofauti na TZ. Kule mtu anaanza kwanza biashara kodi analipa baadaye akiwa sawa.
26. Hakika utafurahi sana
27. Usafiri mkuu huko ni pikipiki ni nyingi mno mpaka kero ila ndo utamaduni wa huko kama ilivyo kwetu sisi wasukuma na baiskeli ama watu wa Uholanzi na baiskeli.
28. Hali hiyo hapo namba 27 inafanya kuwe na foleni isiyo ya lazima. Pia kuna daladala wao huita tax, tax wao huita special.
29. Usiogope kupanda pikipiki marider wako vizuri sana pia huheshimiwa na wenye magari.
Ahsante sana Matunge! Nashukuru sana kwa kunifungua macho kidogo!! Nitakuchek inbox nikuulize kuhusu points flani flani hapo. Usinichoke mkuu!
 
Kampala ni mji una mabonde Na milima. Kuna vumbi kama Moro. Vyakula mhh kujichana kama Dar chips kuku, mishkaki, nyama choma utatafuta sana. Utaishia kula matoke ya kusonga na maharage. Watu si wakarimu usiulize ulize ovyo. Ongea English Kiswahili wanakiponda. Si ajabu ukafokewa na mtu, I don't speak Swahili". Daladala zinaitwa Tax nyingi ni aina ya Hiace tena ni level seat. Ukitoa nauli 10tau unapata balance hapo hapo. Chenji huita Balance. Tax huitwa Special. Bodaboda kila kijana anamiliki ziko nyingi sana ni usafiri Wa mjini wa kuaminika.
Ahsante mkuu
 
Ugelifunguka zaidi ingelisaidia sana kwa mfano. Je utakwenda na ndege ama bus? Je utajitafutia hotel/guest house mwenyewe ama mmepangiwa hotel ya kukaa? Je mtafanyia wapi hiyo shughuli? Je ni Kampala kweli ama Entebbe? Maana wengi huwa hawawezi kutofautisha kwa sababu miji hii iko karibu sana. Pamoja na hayo napenda kukueleza kwa uchache kuhusiana na Kampala kama ifuatvyo;

1. Kampala ni jiji kubwa na lina mambo mengi kama ilivyo Dar es Salaam
2. Jiji halilali, watu hukesha wakifanya kazi ama starehe tofauti na ilivyo Dar es Salaam ikifika muda fulani hutulia.
3. Malls ama maduka makubwa kwa ajili ya watu wa hali ya chini yako mengi mno Dar inazidiwa mbali sana.
4. Maduka makubwa Malls mfano wa Mlimani City kwa watu wa hali ya kipato cha juu na kati ni mengi mno tofauti na Dar es Salaam
5. Waganda ni wachapa kazi sana kiukweli wanatuzidi sana.
6. Waganda wanakula sana; hupendelea vyakula vya asili, hawaweki mafuta; hali hii huwafanya wawe na maumbo makubwa na ya kuvutia
7. Waganda wana neema ya vyakula kwani viko vingi sana; magimbi, ndizi, samaki, n.k
8. Waganda wana nguvu na wanapenda sana kufanya mapenzi
9. Waganda huzaliana sana
10. Waganda huongea Luganda, Lunyankore, na Kiingereza kwa wachache hasa kwa wasomi na watu wa hali ya juu
11. Waganda hawajui Kiswahili isipokuwa kwa wachache hasa askari na wanajeshi
12. Uganda kuna amani sana tofauti na inavyochukuliwa huku Tanzania
13. Usalama ni wa hali ya juu unaweza kutembea usiku katikati ya kampala usiku wa manane usipatwe na tatizo
14. Hakuna mtu atakayekuuliza passport ukiwa ndani Uganda isipokuwa mpakani au airpot
15. Waganda huwapenda sana Watanzania japokuwa nchi yetu kama wanaiweka kushoto kidogo; Kenya imewakaa sana.
16. Kuna maeneo ya watu wa chini na ya wa juu - usipotaka bugudha tembelea maeneo ya Sheratoni, Serena na karibu na Ikulu ya kampala kuna wanawake wanajipanga barabarani kujiuza
17. Pia waweza enda Kabalagala kwa starehe za usiku - machangu wa kinyarwanda ni wa kufa mtu
18. Club za hali ya juu ni kama Guvnor; Ambiance ni kwa watu wa mjini
19. Kampala ina mambo mengi ndugu yangu biashara iko juu sana na watu wanapata faida
20. Maisha ni rahisi kwa kampala Entebbe ni mji wa wenye hela maisha yako juu sana
21. Bidhaa ziko nyingi sana na bei ni rahisi sana
22. Shilingi 1 ya TZ ni sawa na Shilingi 1.5 ya Ug
23. kama una la zaidi na la privacy please inbox me nitakufahamisha zaidi
24. Kuna club wanacheza uchi na kufanya mapenzi huku watu wakitazama kama show
25. Kimsingi Museveni amewapa uhuru mkubwa sana waganda hasa katika kufanya biashara tofauti na TZ. Kule mtu anaanza kwanza biashara kodi analipa baadaye akiwa sawa.
26. Hakika utafurahi sana
27. Usafiri mkuu huko ni pikipiki ni nyingi mno mpaka kero ila ndo utamaduni wa huko kama ilivyo kwetu sisi wasukuma na baiskeli ama watu wa Uholanzi na baiskeli.
28. Hali hiyo hapo namba 27 inafanya kuwe na foleni isiyo ya lazima. Pia kuna daladala wao huita tax, tax wao huita special.
29. Usiogope kupanda pikipiki marider wako vizuri sana pia huheshimiwa na wenye magari.
Kiongozi kweli nimeamini Kampala unaijua vzr.Mi nimeishi sana huko, sehem za kawempe, maganjo,Kasubi, Nakulabye niko vzr.yote uliyo sema ni kweli.
 
Back
Top Bottom