Corona ipo tuchukue tahadhari!
Nimekaa nimefikiria nimeona huu ni muda muafaka wa kumfungulia mashtaka ya unyanyasaji aliyekuwa kaka mkuu shule ya msingi kipindi nasoma ,back 14yrs nipo darasa la 5 Kuna kiongozi aliyekuwa ni kiranja wa shule alikuwa akininyanyasa Sana mbali na vipigo lakini alikuwaakiniambia niende nikapige simu chooni (kwa wale ambao hawajui kupiga simu chooni ni Nini yaani unapigwa viboko kwanza then unapelekwa chooni ukainamie tundu la choo huku mashavu yakigusa Yale mabanzi ya pale kweye tundu huku uso wote ukiwa umefiti kwenye lile tundu ukiangalia kinyesi ndani Kisha unaanza kusema baba Mimi nateseka huku njoo uniokoe na maneno mengine mengi atakayokuongoza useme) Sasa kupitia unyanyasaji huu Nina mpango wa kwenda kufungua kesi
Sasa nilikuwa naomba msaada kwa wanasheria nianzie wapi na je itawezekana na Sina ushahidi wa picha au video Ila karibia wenzangu wote tuliosoma nao kipindi kile wanajua kuwa hio Hali ilikuwa inafanyika pale shule
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa nimefikiria nimeona huu ni muda muafaka wa kumfungulia mashtaka ya unyanyasaji aliyekuwa kaka mkuu shule ya msingi kipindi nasoma ,back 14yrs nipo darasa la 5 Kuna kiongozi aliyekuwa ni kiranja wa shule alikuwa akininyanyasa Sana mbali na vipigo lakini alikuwaakiniambia niende nikapige simu chooni (kwa wale ambao hawajui kupiga simu chooni ni Nini yaani unapigwa viboko kwanza then unapelekwa chooni ukainamie tundu la choo huku mashavu yakigusa Yale mabanzi ya pale kweye tundu huku uso wote ukiwa umefiti kwenye lile tundu ukiangalia kinyesi ndani Kisha unaanza kusema baba Mimi nateseka huku njoo uniokoe na maneno mengine mengi atakayokuongoza useme) Sasa kupitia unyanyasaji huu Nina mpango wa kwenda kufungua kesi
Sasa nilikuwa naomba msaada kwa wanasheria nianzie wapi na je itawezekana na Sina ushahidi wa picha au video Ila karibia wenzangu wote tuliosoma nao kipindi kile wanajua kuwa hio Hali ilikuwa inafanyika pale shule
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app