ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,648
Hii ndio main objective yangu katika maisha nataka nijifunze Mambo kwa bidii mpaka niibadilishe dunia tuishi bila madawa ya hospital na bila kutumia dhamana(pesa).najua inawezekana kuifanya dunia sehemu Salama kabisa Kama tutafanikiwa kuondoa hayo Mambo mawili.
Niko busy kuindaa hii project kubwa na ya Aina yake hata Kama nitaishia njiani lakini natumaini wapo watu watakuja kuiendeleza ninachofanya Mimi ni kuweka misingi.kama nitahitaji msaada wa knowledge fulani sitasita kuwashirikisha.kwa anayevutiwa na wazo langu na angependa tuungane pamoja kwenye hili lengo Basi Ani PM.Natanguliza shukrani
Niko busy kuindaa hii project kubwa na ya Aina yake hata Kama nitaishia njiani lakini natumaini wapo watu watakuja kuiendeleza ninachofanya Mimi ni kuweka misingi.kama nitahitaji msaada wa knowledge fulani sitasita kuwashirikisha.kwa anayevutiwa na wazo langu na angependa tuungane pamoja kwenye hili lengo Basi Ani PM.Natanguliza shukrani