4rever young
Senior Member
- Jul 26, 2019
- 136
- 125
Wakuu heshima zenu!
Bila kupoteza wakati niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada, mimi ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo Mwanga Kilimanjaro, mpango wangu hasa ni kuhamia Morogoro kwa nia ya kusaka life wazee, na kiukweli huku Mwanga hamna cha maana kabsa!
Account ya bank inasoma 2.5mil tu na hio ndio nimepanga nikaanze nayo maisha hata kama nikipanga chumba bila godoro ni fresh tuu nitalala hata chini ila hio pesa nataka iende shambani.
Morogoro sina ndugu ila nmeichagua kwa sababu zifuatazo
1.Ni mkoa wenye fursa kubwa kwenye sekta ya kilimo
2.Living cost nimesikia kwamba iko chini
3.Usalama ni mzuri
NB: Naombeni ushauri wenu ndugu zangu na pia ikitokea nikapata mwenyeji wa huko nitashkuru sana na Mungu awabariki
Bila kupoteza wakati niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada, mimi ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo Mwanga Kilimanjaro, mpango wangu hasa ni kuhamia Morogoro kwa nia ya kusaka life wazee, na kiukweli huku Mwanga hamna cha maana kabsa!
Account ya bank inasoma 2.5mil tu na hio ndio nimepanga nikaanze nayo maisha hata kama nikipanga chumba bila godoro ni fresh tuu nitalala hata chini ila hio pesa nataka iende shambani.
Morogoro sina ndugu ila nmeichagua kwa sababu zifuatazo
1.Ni mkoa wenye fursa kubwa kwenye sekta ya kilimo
2.Living cost nimesikia kwamba iko chini
3.Usalama ni mzuri
NB: Naombeni ushauri wenu ndugu zangu na pia ikitokea nikapata mwenyeji wa huko nitashkuru sana na Mungu awabariki