Mnavyopenda wageni sasa 😂😂 Sisi Ndo Tupo!!!Ukifika unipatie mualiko tukanyanyue uzito pamoja
Mnavyopenda wageni sasa Sisi Ndo Tupo!!!
Lololololololol umekosea, jaribu tena rafiki. Majimbo ya Carolina ni joto kali sana ziko pwani ya mashariki ya marekani. Jimbo la Dakota iko Kaskazini.Jimbo gani kaskazini Carolina au Dakota?
Lolol sawa ukiishi karibu na Usa au Arusha. Nitakuletea nami.Ukifika unipatie mualiko tukanyanyue uzito pamoja
Si ndio kuna North Carolina and South Carolina then kuna North Dakota and South Dakota, sasa wewe uko State gani?Lololololololol umekosea, jaribu tena rafiki. Majimbo ya Carolina ni joto kali sana ziko pwani ya mashariki ya marekani. Jimbo la Dakota iko Kaskazini.
Nilisema naishi jimbo langu ni baridi kali . Naishi jimbo la Michigan ni karibu na nchi la Canada pia hali ya hewa ni baridi kali kila miaka.Si ndio kuna North Carolina and South Carolina then kuna North Dakota and South Dakota, sasa wewe uko State gani?