kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.
Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.
Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.
Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.
Nafanyaje wakuu?
Mwache ale mbususu hio bana😅 ila mie sielewi yani niwe na mke charming anayenionesha mapenzi full all time she there for me 😅 hata nyege za kumsaliti sinaga aisee!Usianzishe mahusiano kazini unajitaftia matatizo yasio ya lazima, na hivi duniani hamna Siri
Dah...Angeongea na wife ingekuwa POA sana 🤭🤭🤣🤣🤣Mpigie simu huyo workmate unayempenda, muombe ushauri.
Wanaume huwa mnAjitaftiaga majanga Sasa huyu anataka haribu kazini na nyumbani na mbaya ukute mchepuko ni anatoka na bosi.Mwache ale mbususu hio bana ila mie sielewi yani niwe na mke charming anayenionesha mapenzi full all time she there for me hata nyege za kumsaliti sinaga aisee!
Hahahhahah ataiona ofisi chungu soonWanaume huwa mnAjitaftiaga majanga Sasa huyu anataka haribu kazini na nyumbani na mbaya ukute mchepuko ni anatoka na bosi.
Hahahaaaa kocha mchezaji...Sasa kuwa nae tu karibu unahitaji ushauri pia?
Kwani unataka kumuoa na yeye?
Wengine tuna michepuko kadhaa na mke ndani lakini tunahandle vyote wewe unakwama wapi?
Yaani we acha nA vikao juuHahahhahah ataiona ofisi chungu soon
Usseme hvyo kaka,unawza ishi poa na mkeo ila ikatokea kuna mrembo umemuelewa,ile mbayaMwache ale mbususu hio bana😅 ila mie sielewi yani niwe na mke charming anayenionesha mapenzi full all time she there for me 😅 hata nyege za kumsaliti sinaga aisee!
Hahahahah mrembo hawezi tokea kama mke wangu tayari ni mrembo na nampenda kweri kwerii!Usseme hvyo kaka,unawza ishi poa na mkeo ila ikatokea kuna mrembo umemuelewa,ile mbaya
Mkuu shida yako unaishi kwa kuzisikiliza na kuzitii tamaa za mwili zenye kudanganya. Siku nyingine utadai umempenda mwingine na mwingine na mwingine. Tamaa za mwili zipo tu lakini sio za kuziendekeza.Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.
Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.
Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.
Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.
Nafanyaje wakuu?
Sasa mzee sii u just stating the obvious...mwanamke yoyote yule awe mzuri kiasi gani ukishamkojolea mara mbili tatu anaishia kuwa wa kawaida tuu. Mwanamke ni mzuri kabla ya kumla mbususu...ukishamla mbususu anakuwa ng'ong'ozo ....thats how it is for most men...and by most i mean 98%
Feelings like these ni kawaida. Integrity I ichukue nafasi ya kwanza, keep a healthy distance, na kama wife ni mwelewa, discuss naye.Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.
Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.
Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.
Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.
Nafanyaje wakuu?
Ukute na mkeo nae kashampenda mtu ila hajui afanyaje, jaribu kufanya kama unamshauri mkeo! Na ushauri huohuo jipe na wewe