Nina mke ila nimetokea kumpenda mfanyakazi mwenzangu kazini, na-handle vipi hii hali?

Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.

Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.

Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.

Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.

Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.

Nafanyaje wakuu?


Mwache mkeo umuoe huyo mfanyakazi mwenzio moyo wako uridhike kuliko kuendelea kumsaliti
Maana umeshindwa kujua unachokitaka. Mxiuuuuuuuuuu
 
Usianzishe mahusiano kazini unajitaftia matatizo yasio ya lazima, na hivi duniani hamna Siri
Mwache ale mbususu hio bana😅 ila mie sielewi yani niwe na mke charming anayenionesha mapenzi full all time she there for me 😅 hata nyege za kumsaliti sinaga aisee!
 
Mwache ale mbususu hio bana ila mie sielewi yani niwe na mke charming anayenionesha mapenzi full all time she there for me hata nyege za kumsaliti sinaga aisee!
Wanaume huwa mnAjitaftiaga majanga Sasa huyu anataka haribu kazini na nyumbani na mbaya ukute mchepuko ni anatoka na bosi.
 
Mkuu kemea hilo pepo..huo ndo mwanzo wa matatizo katika maisha yako...shetani anavuruga maisha ya watu kupitia wadada warembo kama huyo wa kazin kwenu
 
Mwache ale mbususu hio bana😅 ila mie sielewi yani niwe na mke charming anayenionesha mapenzi full all time she there for me 😅 hata nyege za kumsaliti sinaga aisee!
Usseme hvyo kaka,unawza ishi poa na mkeo ila ikatokea kuna mrembo umemuelewa,ile mbaya
 
Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.

Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.

Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.

Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.

Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.

Nafanyaje wakuu?
Mkuu shida yako unaishi kwa kuzisikiliza na kuzitii tamaa za mwili zenye kudanganya. Siku nyingine utadai umempenda mwingine na mwingine na mwingine. Tamaa za mwili zipo tu lakini sio za kuziendekeza.
 
Sasa mzee sii u just stating the obvious...mwanamke yoyote yule awe mzuri kiasi gani ukishamkojolea mara mbili tatu anaishia kuwa wa kawaida tuu. Mwanamke ni mzuri kabla ya kumla mbususu...ukishamla mbususu anakuwa ng'ong'ozo ....thats how it is for most men...and by most i mean 98%


Iwapo hakuna penzi la dhati ya moyo , engagement and chemistry among it can be the way umeelezea.

Lakini likiwapo penzi la dhati ya moyo , engagement and chemistry nakwambia hakuwa na wa kumkinahi wala kumkifu mwenzie baina ya wapenzi.
 
Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.

Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.

Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.

Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.

Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.

Nafanyaje wakuu?
Feelings like these ni kawaida. Integrity I ichukue nafasi ya kwanza, keep a healthy distance, na kama wife ni mwelewa, discuss naye.
 
Back
Top Bottom