Hy hali ni y kawaida yan inamkuta kila mwanaume amby n activeWakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.
Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.
Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.
Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.
Nafanyaje wakuu?
Una akili sana! Wewe ni genius! Asipokuelewa kwa ushauri huu atakuwa amerogwa siyo bure!Case closed
Kama unaweza chepuka.... Kwa sabb mwanaume awez kukaa na mwanamke mmja maishani..... Ila tu kua makini na endelea kumpenda mkeoWakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.
Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.
Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.
Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.
Nafanyaje wakuu?
Haaaa haaa, vipi alimpandisha cheo kutoka rafiki mpaka nyumba ndogo?Toa taarifa polisi haraka sana
Huo ni umalaya na unamdhalilisha mkeo.Acha ujinga na concentrate kwa mkeo,wazuri wako wengi na hawataisha.Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee naye.
Halafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.
Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana ka-save namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.
Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea naye tu naridhika, siwazi kabisa kufanya naye mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe naye karibu tu.
Nafanyaje wakuu?
kwa kujikaza kama mwanaume mbn me cn hata mke lakn naj2nzaMkuu huwa unasovu vipi hii hali aisei