Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Hongera, mambo unayaweza yaani hadi mimba, safi sana.Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
PointDada kukusaidia tu.
Kwa tendo lolote la ngono zembe as long as haulifanyi na mumeo aliyeidhinishwa inakutaka wewe kama mwanamke ambaye utapata madhara makubwa zaidi kuamua nini kifanyike nini kisifanyike?ng’ang’ana kusema “hamjui kama kuna majukumu” na wewe haya yakukute.
Mahondaw mamb vp mamy ??Mwanzo mapenzi hunoga sana mkishazoeana sasa ukute mwenzio ndio wale wasiojielewa na hawawezi kujikontrol hapo ndipo balaa linapoanzia!! Ilaa watoto ni baraka mamy!
Hilo haliwezekani,mnavutia sana siku hiziKama hampendi majukumu na zinaa pia muache.
Sisi Kichwa cha chini hukifunika kichwa cha juu,kwahyo ni kujumu lenu kuzuia hicho kitu kisitokeeWakati mnapenda kuzagamua danger days sababu joto liko juu mnakuwa hamjui kama kuna majukumu ee?
Correct: thrice.twice or triple
Pole sana mfichuamambo.Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Quadruple je. Ahsante ticha mie nimesoma maths so ni kilaza wa lugha. Keep it up kutuelekeza lughaCorrect: thrice.
Njoo ushuhudie kama mimi ni dume au jike.mbona umeumia sana mkuu, kwani na wewe una mimba na mwenye nayo kakimbia
basi pole
Kutelekezwa na mimba ndio fashion ya sasa usishtuke mdogo wangu eeeNina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Ukibadilisha hiyo avatar yako, walau nitakuonea huruma.Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe