Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 26,751
- 2,000
Mhindi kalamba kichwa aisee,Hii imeshapita,au bado nibet na mie?
Atletico na Bayern wamechomoa betri
Mhindi kalamba kichwa aisee,Hii imeshapita,au bado nibet na mie?
Yaani siri ya kubet,,ni kubet kinyume na matarajio ya wengi...Mhindi kalamba kichwa aisee,
Atletico na Bayern wamechomoa betri
caselona ngapi ukoNgoja nimpe tips arudshe hasara na faida kdgo
Man utd win ..... 1.37
Totenham 12......1.36
Aston vila 2+.....1.24
Barca win and 2+....1.27
Milan vs inter 12.......1.3
Total odds 3.76
Stake 300,000
Possible wins 300,0003.76 =1,128,000![]()
1128000-(500000(kipigo cha jana) + 300000)
1128000-800000
Faida 328000
Ukinipa 50k ya asante
Unabaki na 278000 faida cash!
Fanya ivoo mwenetuu
Baca kasepa na kijiji leoNgoja nimpe tips arudshe hasara na faida kdgo
Man utd win ..... 1.37
Totenham 12......1.36
Aston vila 2+.....1.24
Barca win and 2+....1.27
Milan vs inter 12.......1.3
Total odds 3.76
Stake 300,000
Possible wins 300,0003.76 =1,128,000
1128000-(500000(kipigo cha jana) + 300000)
1128000-800000
Faida 328000
Ukinipa 50k ya asante
Unabaki na 278000 faida cash!
Fanya ivoo mwenetuu
Hujaelewa mkuu apo aliesepa na kijiji ni andunje pekeeTottenham, villa wote wamepoteza 1-2, barca draw 1-1, milan kapigwa 3-0.
Mpaka hapa kwenye ile laki 5 iliyobaki baada ya mechi hizi kaongeza mtaji kiasi gani?
Mimi hata sijui haya manamba huwa yanamaanisha nini, sijawahi na sitarajii kuja kushiriki hii michezohujaelewa mkuu apo aliesepa na kijiji ni andunje pekee
Sasa unachangiaje vitu usivyovijua ????Mimi hata sijui haya manamba huwa yanamaanisha nini, sijawahi na sitarajii kuja kushiriki hii michezo
Hiyo selection ya barca ilikuwa niweke 1x ila odds zake zikawa kichomi daah.
Ifikie mahali hizo stake badala ya kubetia zote mkeka mzima ugawe hela kwa kila timu maana zinazochanaga ni chache kuliko zinazo win.
sasa unachangiaje vitu usivyovijua ????
hapo kazingua barca pekee yake even tho mkeka lost!
Sio mbya bado tuna lakimbili yetu ya akiba tuonane UEFA turudshe hasara zetu mkuu
Mkuu tatizo wasepa na vijiji ni wengi mnoo saizi wamebana kila sehemu yani saizi secure ama risk free market ni over/under on my opnionIfikie mahali hizo stake badala ya kubetia zote mkeka mzima ugawe hela kwa kila timu maana zinazochanaga ni chache kuliko zinazo win.
Ukilenga timu zenye odd mbili kwenye mkeka wa gemu 10 zikachana 2 au 1 still unakuwa na faida kubwa zaidi. Kuliko ungecheza zote sehemu moja ikichanika inaua hela yote kwa pamoja.
Watu bhana!!!Ngoja nimpe tips arudshe hasara na faida kdgo
Man utd win ..... 1.37
Totenham 12......1.36
Aston vila 2+.....1.24
Barca win and 2+....1.27
Milan vs inter 12.......1.3
Total odds 3.76
Stake 300,000
Possible wins 300,0003.76 =1,128,000
1128000-(500000(kipigo cha jana) + 300000)
1128000-800000
Faida 328000
Ukinipa 50k ya asante
Unabaki na 278000 faida cash!
Fanya ivoo mwenetuu
Kwanza kabisa aondoe akilini kwamba kuna kufanikiwa haraka haraka. Hilo neno haraka haraka. Kupata faida ya 4m katika miezi michache. Akishajua hilo, atakuwa teari kupambana hata kama ni banda la chipsi nk. Mind is everythingMamotivation writers JF wamezidi hii issue ya kuambiana sijui angalia eneo unaloishi kuna changamoto gani ni hadithi za motivational speakers. Kama una idea iseme sio kua vague... mueleze mtu kinaga ubaga ni biashara gani, huduma gani, au issue yoyote ile inayo endana na mtaji wa mhusika na mwisho wa siku kutokana na idea unayotoa mtu anaweza pata idea yake mwenyewe. Mfano naishi eneo X biashara ninayoifanya ni kununua na kuuza bidhaa Y kutoka eneo Z na wateja wangu ni hawa na hawa, changamoto ni hizi na hizi na utaziepuka kwa kufanya ABCD. Baada ya kutoa maelezo hayo mhusika ndio ataweza kuangalia kama wazo husika kutokana na mazingira aliyopo anaweza kufanya au kuna haja ya yeye kusogea kwenda sehemu anayoweza fanya hiyo biashara. Mpaka mtu kuja kwenye hili jukwaa akili ishastuck msaidie kama unaweza kumsaidia, mkuu CONTROLA ubarikiwe popote ulipo hua unaongea actual business ideas sio blah blah
Hapo napo patamHio boxer labda ampe mtu mzima mwenye familia yake. Ila kwa hawa wafuga virasta kama pilipili kichaa badala ya hela atapata stress 8000 kila siku.
Mkuu leo ni jumanne ya uefa tumebakiza laki 2 zetu tunawekaje mzigoSasa unachangiaje vitu usivyovijua ????
Hapo kazingua barca pekee yake even tho mkeka lost!
Sio mbya bado tuna lakimbili yetu ya akiba tuonane UEFA turudshe hasara zetu mkuu
Leta team hapaaa haraka sanaaaMkuu leo ni jumanne ya uefa tumebakiza laki 2 zetu tunawekaje mzigo
Ni ngumu sana kumaster forex ndani ya wiki moja kama hujui chochote sababu zaidi ya 60% ni psychology kitu ambacho huwezi kukipata ndani ya wiki!Au mtafute Ontario aka dennis atakufundisha kutrade forex ndani ya week moja tu na utamlipa tsh 100,000/= ya mafunzo. Hiyo laki 9 iliyobaki itasimama kama mtaji wa kuanzia hivyo ni kama usd 300+ ndani ya mwezi tu unakuwa millionaire maana jamaa atakupa strategy ya hatari sana. Fanya hivyo mkuu uwe millionaire.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us