Nina Million 10 Cash nifanye biashara gani?

Anonymous

Senior Member
Feb 3, 2006
125
320
Hello wapendwa,


Nlikua nafanya kazi sehem flani sasa katika savings zangu nina 10m kwa bank account and the very unlucky thing mkataba umeisha like two months ago

Nimejarib kufikiria biashara mbali mbali hapa Dar naona zote ngumu sana hasa kwenye ku-take off na kuwa profitable in a short time ,kichwa kinauma sana kubuni shughuli/biashara ya kufanya na naogopa sana mzigo usije kata na nna familia inanitegemea ,


Kuna muda nlifikiria niende border ya Tunduma nitafute mishe ya kukimbiza chap chap(sijawahi kufika though)

Please ushauri wenu wakuu ila tu msiniambie habari za Network Market ,Forex et all


Please comment msaada wako wa mawazo ...kama huna msaada ukikaa kimya itakua poa zaid ukabak kuwa mtazamaji wadau wenye msaada waki comment inaweza kukusaidia pia,

Thanks in Advance good people!
 
Mkuu Hongera;

  1. Unahitaji kuwekeza kiasi gani hasa katika Biashara hio?
  2. Wewe binafsi una ujuzi gani,au intereste ya kitu gani,
  3. Projection yako ya Mapato ni kama kiasi gani kwa mwezi,
  4. Umejenga au umepanga?
  5. Wastani wa matumizi yako binafsi kwa mwezi ni kiasi gani?
Nijibu hayo maswali hata PM theni tuendelee
 
Anzisha bakery mkuu,, nunuaa machine ya kukanda maandazi na jiko la kuoka (oven), then unakaanga maandazi Una package kama Yale ya bakhressa unapeleka mzigo sokoni, hata hiyo million 10 haufiki mtaji ni around million 5 , unakua unafanyia nyumbani unapoishi
 
Anzisha bakery mkuu,, nunuaa machine ya kukanda maandazi na jiko la kuoka (oven), then unakaanga maandazi Una package kama Yale ya bakhressa unapeleka mzigo sokoni,

Oven ni kwa ajili ya mikate ukianza pia kutengeneza, but for now Anza na maandazi Kwanza

hata hiyo million 10 haufiki mtaji ni around million 5 ambayo ni pamoja na kununua machine plus unga na mafuta na jiko la kukaangia,

Mahali pa kufanyia ni nyumbani unapoishi, so itategemea ni unapanga ama ni kwako
 
Anzisha bakery mkuu,, nunuaa machine ya kukanda maandazi na jiko la kuoka (oven), then unakaanga maandazi Una package kama Yale ya bakhressa unapeleka mzigo sokoni, hata hiyo million 10 haufiki mtaji ni around million 5 , unakua unafanyia nyumbani unapoishi
Tuna mawazo sawa
 
Anzisha bakery mkuu,, nunuaa machine ya kukanda maandazi na jiko la kuoka (oven), then unakaanga maandazi Una package kama Yale ya bakhressa unapeleka mzigo sokoni,

Oven ni kwa ajili ya mikate ukianza pia kutengeneza, but for now Anza na maandazi Kwanza

hata hiyo million 10 haufiki mtaji ni around million 5 ambayo ni pamoja na kununua machine plus unga na mafuta na jiko la kukaangia,

Mahali pa kufanyia ni nyumbani unapoishi, so itategemea ni unapanga ama ni kwako
Okay
 
Ukiwazaa biashara elewa kwamba "hamna shortcut"

Nimejarib kufikiria biashara mbali mbali hapa Dar naona zote ngumu sana hasa kwenye ku-take off na kuwa profitable in a short time

biashara ya kuwa profitable in a short time HAKUNA tena narudia

kukwambia hakuna,labda uuze FIGO YAKO.

ukija kwenye biashara ondoa WENGE la salary kabisa ulilo zoea

kila mwisho wa mwezi,huku biashara haipo hivyo.

Ukitaka kupiga hela in a short time kwenye biashara

Lazima utoke jasho Muraaaa,maaana katika biashara

hamnaga stable income 100% weka akilini hilo.

SO

biashara gani ya wewe kufanya?

Jiulize kabla ya kupata jibu,ARE YOU READY N PREPARE YOUR SELF

incase you loose all of ur capital (10mil)???

If your answer is YES

Jibu la biashara gani ya kufanya ni

YEYOTE ILE INAYOITWA BIASHARA

If your answer is NO

Tafuta kazi ya kuajiriwa ACHANA na BIASHARA

utakujaa uwe mwendawazimu bure..watoto/familia yako waanze umia wakikuangalia

Unavyotembea ukiongea mwenyewe na haujavaa earphone wala huna simu sikioni
 
biashara ni nyingi sana TATIZO uzoefu ndio utakuangusha na hakuna biashara ngumu ukiambiwa kwa mdomo unaona simple sasa ingia field ndio utajua ugumu wake.

nunua ngombe sin%ida peleka mwanza..toa sangara Mwanza peleka dsm toa asali tabora peleka kenya. nenda nairobi kaanzishe biashara ndogo za vyakula zinalipa. anza kwa udogo kabisa usikubali mtaji wote uwekeze kwa mara moja kwenye biashara mpya utajalia
 
Mimi nina mawazo ila sina hela dah
Kama alivyosema hapo juu mkuu bakery inalipa sana,hapa nimeshajifunza kubake cakes, breads etc nikizipata tu nafungua ka mini bakery changu maana najua uhitaji wa bites ni mkubwa
Una mawazo vizuri sana,


Yaweke hapa kwa msaada wa wadau wengi...huwezi jua yawezekana ukapata business partner hapa
 
Back
Top Bottom