Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,462
- 1,085
Labda uagize matairi na betriiNina milioni tano nataka kuagiza gari japan la kutembelea naweza kupata gari aina gani?na gharama zote zisivuke milioni sita???
Msaada ndugu wenye uzoefu.
Labda uagize matairi na betriiNina milioni tano nataka kuagiza gari japan la kutembelea naweza kupata gari aina gani?na gharama zote zisivuke milioni sita???
Msaada ndugu wenye uzoefu.
Fanya hesabu hapo.Acheni utani! Milioni 5 uagize gari Japan? Badilisha kwa dola ni ngapi?
Huyo bado hajafikia hatua ya kumiliki gariWatafute Autocom Tanzania wana bei nzuri sana
Gari haziuzwi bei moja,, zinatofautiana. Ila kwa wastani wa sasa, kuleta gari bajeti ya chini sana ni 10 hadi unaitoa.... Hapo tunazungumzia babywalker na baadhi ya SUV's kama Xtrail na Sedans kama premio, Allion etc, ila kwa gari zingine nzuri utatakiwa uplus zaidi pesa juu ya hiyo 10.Mil 10 pamoja na gari au kodi tuu?
Watu wameanza kukachangamkia nimekaona jana huku mtaani kwe2.Fanya hesabu hapo.View attachment 1573957View attachment 1573958
Kulingana na maelezo ya hapo juu kama nimeelewa vizuri hilo gari la 1M likifika Tanzania utalipa 3M na ushee??Fanya hesabu hapo.View attachment 1573957View attachment 1573958