Nina milioni tano nataka kuagiza gari Japan

Acheni utani! Milioni 5 uagize gari Japan? Badilisha kwa dola ni ngapi?
Fanya hesabu hapo.
Screenshot_20200919-082721_Chrome.jpg
Screenshot_20200919-082905_Chrome.jpg
 
hela nyingi sana hiyo kaka, ongezea tu kama milioni tatu ya kutolea gari bandarini.

kwa milioni nne au tano unaagiza gari hizi:

TOYOTA Pixis Epoch G, 2010>
HONDA Life G, Zest 2010>
NISSAN Moco, Otti 2010>

DAIHATSU Mira, Move, Esse 2010>
SUZUKI Alto, Wagon R, Palette 2010>
SUBARU Stella, Pleo, Lucra 2010>
MITSUBISHI EK Wagon 2010>
MAZDA Carol 2010>
 
Mil 10 pamoja na gari au kodi tuu?
Gari haziuzwi bei moja,, zinatofautiana. Ila kwa wastani wa sasa, kuleta gari bajeti ya chini sana ni 10 hadi unaitoa.... Hapo tunazungumzia babywalker na baadhi ya SUV's kama Xtrail na Sedans kama premio, Allion etc, ila kwa gari zingine nzuri utatakiwa uplus zaidi pesa juu ya hiyo 10.

Mfano unaagiza Rav4, harrier, Subaru forester Tx itakubidi uwe na kama m15+
 
Ongeza milioni tatu ukachukue chuma mpya Funcargo au Suzuki Cary .
Kampuni inaitwa Janjapan.
janinternationaltanzania_1643314819087738.jpg
janinternationaltanzania_1643314819088447.jpg
janinternationaltanzania_1643314819088881.jpg
janinternationaltanzania_1643314819087203.jpg
 
Back
Top Bottom