Nina milioni tano nataka kuagiza gari japan la kutembelea naweza kupata gari aina gani?na gharama zote zisivuke milioni sita???
Msaada ndugu wenye uzoefu.
Nina milioni tano nataka kuagiza gari japan la kutembelea naweza kupata gari aina gani?na gharama zote zisivuke milioni sita???
Msaada ndugu wenye uzoefu.
Mkuu gari za bei rahisi nyingine za longtime kwahiyo ongeza ×25%,kabla ya kodiJamani mm nilivyo muelewa anasema milion 5anayo ya kuagiza gari,,ushuru usizidi milioni 6,pamoja na gharama zote..japani kuna gari mpaka dollar 1850 CIF au gharama mpaka bandarini.ambayo sawa ma milion nne kasoro kidogo..kwahiyo akitafuta ushuru pamoja na agent fee,portchargies m6..anaweza kupata gari.ilakama ndio million 5kilakitu...ningumu haitakaa itokee...atafute tu hapahapa gari atapata
Atakua yupo Magomeni Mikumi kwa chini hivi!Wewe uko toyotajapani au?
Una show room ya magari au upo Japan ?Unapata gari tena nzuritu..nitafute 0755229028
Ngoja wajehv haya magari yanayouzwa US$20(ishirini) beforward hadi kuichukua bandarin ina gharimu kiasi gani
Nissan Duet? Naona hii labda wajapan ndo wamevumbua 2017 hii. Sijapata kuisikia. Ndo ww unatangazia ulimwengu kwa mara ya kwanza.Kuna gari inaitwa nissan duet kwenye show room unapata kwa six mil net... Kwa kuagiza inapungua zaidi ya hapo. Usidanganyike. Nenda katika mitandao ya be forwarded au car junction angalia utafanikiwa tu. Usife moyo. Goodluck
Unaweza kuta linauzwa 20 us lkn ukiweka na cif inafika 1500 mpaka 1900us hapo hujaweka ushuru bandarinhv haya magari yanayouzwa US$20(ishirini) beforward hadi kuichukua bandarin ina gharimu kiasi gani
Bora nunua ndani kuliko kuagizanilitaka kununua gari ninazo milioni 10 tu ila kwa uzi huu kichwa kinaniuma ngoja niendelee kupanda mwendokasi