ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 685
- 1,611
mkuranga una stawi kwa maeneo ambayo ni makame zaid mana huwa haupnd maji meng (ni zao la ukame), lkn hapa utapata shida kidogo mana dar na pwani mashine za ku produce mkonge hazipo, na wafanyakaz utawatoa wapi wa kukuvunia jibu ni hapana....Vipi mkonge maeneo ya mkuranga waweza stawi
Unatakiw kulima maeneo ambay yapo karb na shamba la mkonge ili waje kukuvunia na wakfnyie kila ktu.ww kaz yko ni kusoma account na kuagiza wa2 wakufyekee majani shambani tu....kama upo ofisini, burdaaaan unaznguka na kiti tu, huku account balance ikiwa high...huna presha..hutotaman kfny biashara mana utaona inakupa stress tu (sijasema biashara ni mbaya nieleweke)....mana huk hakuna mambo cjui nitafilisika cjui kuibiwa cjui kupata hasara..hiyo sahau.......
Sent using Jamii Forums mobile app