Nina milioni 3(tsh) nianzishe mradi gani

Mzee wa fund

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
514
89
Kwanza poleni kwa kazi wana JF,

MIMI NI MWALIMU NINA MILIONI TATU, NINAULIZA NIANZISHE MRADI GANI?

NINA TANGULIZA SHUKRANI.
 
...hiyo ni hela ya kunywea bia tu hapa jijini Dar, maana hata kodi ya pango la biashara hailipi. Labda kama unakaa kijijini Sitimbi...
 
...hiyo ni hela ya kunywea bia tu hapa jijini Dar, maana hata kodi ya pango la biashara hailipi. Labda kama unakaa kijijini Sitimbi...

Wewe hujamsaidia. Maisha ni relative!!!! Nadhani na wewe ulipo kuna mtu anasema hiyo hela uliyonayo kama ni mshahara, biashara unaishije maana kwake sio hela, lakini wewe unaishi. Mpe wazo kwa hiyo hela
 
Wewe hujamsaidia. Maisha ni relative!!!! Nadhani na wewe ulipo kuna mtu anasema hiyo hela uliyonayo kama ni mshahara, biashara unaishije maana kwake sio hela, lakini wewe unaishi. Mpe wazo kwa hiyo hela
sasa we mbona humsaidii mawazo mwenzio? badala yake unaanza kushambulia tu!
 
sasa we mbona humsaidii mawazo mwenzio? badala yake unaanza kushambulia tu!

Sijakushambulia. Basi kama hujapenda.
Basi namshauri anunue bajaji. Kama yupo miji midogo itazalisha. Inabidi iwe biashara atakayoisimamia yeye maana siku hizi kumpa mtu biashara ndogo kama hiyo atakuliza.
 
kodi nyumba karibu na shule unayofundisha ufungue shule yako.
 
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air
 
Kanza paleni kwa kazi wana JF.MIMI NI MWALIMU NINA MILIONI TATU.NINAULIZA NIANZISHE MRADI GANI?NINA TANGULIZA SHUKRANI.

nakushauli uitumie kusoma.kama una dgr 1 ongeza ya 2,kama hna tafuta dgr thn ukipata cku nyingne utakuwa umejipanga
 
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air

great ideas man....kazi kwake
 
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air
Mkuu hapo umeonyesha njia, kwa kweli ni great ideas!
 
Anzisha butchery mkuu.

Wewe tafuta frame kwenye juction, palipo busy na penye uhakika wa watu wenye kipato chao.
Lipa kodi ya mwaka au miezi sita.
Tengeneza frame ikae kima zingira ya kuuza nyama, kuku, mbuzi, maini, moyo na utumbo. Hakikisha pia pauze samaki, vitu vyakupikia kama tomato tins, vitunguu, unga, mawese, tomato sauces, chumvi, ndimu, stocks cubes etc etc.
Lisiwe bucha la kuuza tu nyama ya ng'ombe.
Ukisimamia mwenyewe unaweza faida pekee kwa zaidi ya 30,000/- mpaka 40,000/-.
Ukimpa mtu aendeshe kwa siku anatakiwa kukupa 20,000/- mpaka 25,000/-.

Pa kuzingatia:
Kodi labda 80,000 x 6 months= 480,000/-
Matenegenezo 1,500,000/-
Mizani 100,000/-
Vyuma vya kuning'niza nyama 50,000/-
Ndoo 3 + Beseni 3 + Mop + Sabuni + Gogo la kukatia nyama + Squige + Visu = 100,000/-
Freezer 400,000/=
Leseni ya Biashara na TIN na makadirio utayolipa mwanzoni 150,000/-
White coats x 2 = 5,000/-
Mifuko ya nyama = 3,500/-

Na utabakia na hela pia.

Kazi kwako!

p.s.

Usishangae na maoni pumba ya wapuuzi wengine, huwezi jua labda wao ni tegemezi kwa rushwa au wanakuonea wivu tu!

ALL THE BEST!
 
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air

mkuu umenisaidia hata mimi lakini hapo namba mil 3 zinatoshaje kununua hisa 'precision air!?
 
idea 1
nakushauri anzisha biashara ya kukopesha watu, weka riba ya 10% kila mwezi. kuna watu wengi wanataka mikopo midogo midogo hawapati. ila zingatia yafuatayo:
  1. kopesha mtu baada ya kujiridhisha anaenda kufanyia kitu kitakachozalisha
  2. mkopaji awe na mdhamini
  3. mkopaji aweke rehani kitu fulani
kuna mtu kaanza biashara hii kwa mtaji wa milioni moja miezi 5 iliyopita na kwa sasa mtaji umeongezeka na kufikia 4. kwa hiyo jamani kila kitu kinawezekana

idea 2:
kama una eneo la kufugia, fuga kuku wa mayai uone faida zake. mnyumbulisho ni kama ifuatavyo:
  • Banda la kuku (tumia vifaa used e,g,. mabati, mbao, wires)= 500,000
  • Vifaranga 100 kila kimoja 2300 = 230,000
  • Chakula (0.12kg kila siku kwa kuku *180 days kabla kuanza kutaga )/50kg*100kuku xTsh. 33,000 kwa mfuko=1,425,600
  • dawa mbalimbali (chanjo, antibiotics, vitamins and minerals)= 70,000
  • salary ya mfanyakazi = 50,000* miezi 6 =300,000
  • utilities (maji, umeme/mkaa/mafuta ya taa) = 50,000*miezi 6 = 300,000
  • mengineyo = 174,400
  • Jumla = 3,000,000
gharama hizi ni kabla ya kuku kuanza kutaga

mapato

  • kuku asilimia 75 watataga kila siku hivyo kuwa na tray 2.5. tray moja kwa dar ni Tsh 5,500. kwa siku utapata 2.5*5,500=13,750 na mwezi inakuwa 412,500/Tsh
  • mbolea kwa mwezi unaweza kupata kama 5,000
  • jumla ya mapato kwa mwezi 417,500
  • matumizi kuku wakiwa wanataga ni nusu ya mapato , hivyo faida kwa mwezi ni 208,750
  • faida kwa mwaka ni 208,750*12 = 2.5m
  • kumbuka ili kufanya biashara hii zingatia misingi ya ufugaji bora ili kuzuia vifo. pia weka kumbukumbu vizuri kijana asikuibie
idea 3
  • anzisha biashara ya kuuza mazao, unakusanya vijijini na kuja kuuza mjini
Idea 4
  • Nunua hisa za precision Air

nashukuru naendelea kuchanganya na zangu(kufikiri)'
 
we njoo calabash tupasue hela hiyo tuweke heshima bar.achana na mambo ya biashara ni mambo ya wastaafu wa africa mashariki hayo
 
...hiyo ni hela ya kunywea bia tu hapa jijini Dar, maana hata kodi ya pango la biashara hailipi. Labda kama unakaa kijijini Sitimbi...

Si vyema kumkatisha mwenzako tamaa ya kusonga mbele. Kila mtu anaweza kufanikiwa kwa kiwango chake. Pia elewa siyo wote wanaoanza kwa mitaji mikubwa. Kama hauna cha kumshauri ni afadhali kuwa kimya.

Mzee wa Fund umesema ulikuwa unalima mpunga ndivyo ulivyopata huo mtaji, nakushauri usiache kilimo, kama ulikuwa unalima heka moja, ziongeze ziwe mbili, kama ulikuwa unalima heka mbili ziongeze ziwe nne. Bado kilimo kinalipa sana haswa kama unalima sehemu ambazo zina umwagiliaji. So keep on with your current business don't quit make more plan to expand it.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom