lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,428
500,000 x 2/100 = 10,000Hiyo ni risky sanaa tena kwasasa hivi 25m kwenye biashara za bongo sio nyingi ni peanut....nikupe mfano mzuri sasa hivi kuna wimbi la mini supermarket hapa dar ila jiulize mtaji wao na faida yao ni shilling ngapi?......kwa uzoefu wangu minisuper Market ya kawaida yenye liquors za kutosha sio chini ya 50m, ila mauzo tu kwa siku ni 300k to 500k, na kawaida faida ya supermarket ni 2% ya mauzo sasa hapo jiulize faida yake ni shillings ngapi kwa mauzo ya 500k........
Kwamba faida Ni 10,000 ?