Nina miaka zaidi ya 30 sina ninachomiliki, nahisi kukata tamaa. Msaada wenu

Hahahah hii kitu inapoteza vijana wengi sana mkuu, katika maisha yangu sikuwahi kuwaza ipo siku ntakaanga kitimoto na kuwafungulia watu bia. Ila ilifikia stage nikaona i have to do something for my self-development.

Maisha yatatukaza always cha msingi ni kubadilisha style tu ya kupigwa mashine ili usiumie sana ila kukazwa kupo pale pale.
 
Cha muhimu muombe Mungu pia jikinge na corona. Usikate tamaa utashusha kinga ya mwili halafu covid itakupitia.
 
Nimekuelewa sana mkuu. Ila kwenye kupigwa mashine na life ukizubaa hakukwepeki kweli. Aibu ni kitu kibaya sana kwa mtu anaye pambana kwaajili ya life yake.
Hahahah hii kitu inapoteza vijana wengi sana mkuu, katika maisha yangu sikuwahi kuwaza ipo siku ntakaanga kitimoto na kuwafungulia watu bia. Ila ilifikia stage nikaona i have to do something for my self-development.

Maisha yatatukaza always cha msingi ni kubadilisha style tu ya kupigwa mashine ili usiumie sana ila kukazwa kupo pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana. Kama wewe ni mtu wa imani ya kikristo uliyempokea Yesu, hapo unahitaji kushughulikia madhabahu za upande wa baba na mama. Yapo masomo tele mtandaoni na shuhuda kibao za waliokuzidi na walivyotoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni msaada wenu wakuu ambao waliokwisha pitia hali kama hii ninayopitia mimi. Nina miaka 30 na kitu, sina ninachomiliki zaidi ya godoro langu, radio ndogo ya muziki, vyombo vya udongo ndani ya beseni pamoja na nguo zangu.

Nahisi kukata tamaa kabisa na haya maisha. Mliokwisha pitia hali kama hii yangu kwenye umri huu na ukawa kwenye maisha kama haya, ilikuwaje? Naombeni mnisaidie kimawazo.

Kuna muda natamani hata corona ije upande wangu, nahisi kukata tamaa kabisa.

Sina kazi, sina kibarua kabisa. Maisha yamekuwa magumu sana upande wangu.

Karibuni kwa mawazo yenu, wakuu.
Mbona Mr Nyc na DuduBa@ya wana miaka 40+ na 50+ na wanamiliki tu pumb#, ina maana ww mkuu huna hata pumb#??? come on au ulipotahiriwa nazo pia waliziondoa???
 
Naombeni msaada wenu wakuu ambao waliokwisha pitia hali kama hii ninayopitia mimi. Nina miaka 30 na kitu, sina ninachomiliki zaidi ya godoro langu, radio ndogo ya muziki, vyombo vya udongo ndani ya beseni pamoja na nguo zangu.

Nahisi kukata tamaa kabisa na haya maisha. Mliokwisha pitia hali kama hii yangu kwenye umri huu na ukawa kwenye maisha kama haya, ilikuwaje? Naombeni mnisaidie kimawazo.

Kuna muda natamani hata corona ije upande wangu, nahisi kukata tamaa kabisa.

Sina kazi, sina kibarua kabisa. Maisha yamekuwa magumu sana upande wangu.

Karibuni kwa mawazo yenu, wakuu.
Jitajitahid utafute mtaji hata kidgo uanze biashara hta ya genge au chochote,jichanganye kwa vijana wenzio wanaochakarika ili upate motivation,usikae ndani tuu na kuwaza sana haitakusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamiliki afya, hakuna kikubwa zaidi ya hicho, tumia afya yako kumshukuru Mungu na kumuomba akujaalie subira na akukadirie rizki itakayokufaa.
Pia aache kuchagua kazi, huyu atakuwa mwoga wa kazi huyu dume lizima kama wewe huumwi popote eti unasema hunakazi, Kazi yoyote itakayo kuja hapo mbeleyako ipige tiktaka upate doo acha uboya chali yangu, njoo huku marangu tupande mlima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipanic ndgu yangu , kua mpole, anza na ulichonacho , Shukuru una kichwa, mikono na miguu, tumia vizuri hivyo vitu na mtegemee na mshirikishe Mwenyezi Mungu Mtukufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom