Kushukuru MunguDuh haya maisha haya, kweli ni fumbo! Sometimes unakaa hadi unaona maisha hayana maana kabisa.
Haa Haa Haa Haa HaaWenzio tunalea wajukuu huku.we unahangaika na diploma.
Mmoja Alimaliza Diploma Singida Akasema Azae Milango Itafunguka Haa Haa Mpaka Sasa Hivi Hali Tete SanaMwambie mkuu wengine wana degree na diploma izo za afya ila wanaisoma namba kitaa, bora upambane tuu iyo ada uifanye kua mtaji
Miaka uliyonayo jumlisha miaka3 ya diploma siitakiwa htreee serikalini watakukataaWakuu wana JFnaomben mawazo yenu... hali kitaa ni ngumu umri umekwenda sijapata ajira. Nataka nisome diploma ya afya nina miaka 42. Je nitaruhusiwa kusoma kwa umri huo au serikali itanizuia nisisome.
Je, naweza ajiriwa baada ya kumaliza kusoma diploma ya afya??
Utampa mtaji?Nakushauri kasomee pharmacy ujiajiri na duka LA dawa