Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
kosa kubwa sana kuoa ukifikisha 50 kwa mwanamkeWewe ni kijana mdogo sana ..jitahidi ufike angalau 50 ndio ufikirie kuoa asee...!
lazima upate mwanamke wa miaka 25 hadi 28 maana zaidi ya hapo hakamati mtoto
pia 50 - 60 yrs ni bahati kumtosheleza mwanamke, atagongewa sana
na km mtoto hataweza msomesha Sekondari ndio watoto wanaingia mitaani
Mama pia ataingia mitaani kutafuta mkuyati
mshauri aoe hata kesho mbona wamejaa km akimuamia Mama yake FUSO huko kwao wamejaa wa FORM4