Tena ukute kamnyonyoa mwenyewe huyo kuku.Wanaume wanaojua kurosti hivyo jua huwa hawaoi .
Tena unajua kuwasha hadi mkaa!?
Nimecheka aisee.Tena ukute kamnyonyoa mwenyewe huyo kuku.
Hivi mimi muda wa kupika kuku natoa wapi?
Hadi nimeukumbuka ule uzi wa dalili za mwanaume ambae hataoaNimecheka aisee.
Uwashe mkaa, uchemshe maji yachemke.
Umnyonyoe , umkate kate. Uoshe vyombo ulivyotumia. Umchemshee , umrost.
Kweli huo muda hauwezi kuwa nao.
Yaani huyo anajua bei ya kitunguu sokoni bei gani Kiumbe kama huyo ukiishi nae ni tabu huwezi kuweka pesa ya akiba kwa kibubu 😀😀😀Wanaume wanaojua kurosti hivyo jua huwa hawaoi .
Tena unajua kuwasha hadi mkaa!?
Hahahahahha anaunga mboga na nazi.Hadi nimeukumbuka ule uzi wa dalili za mwanaume ambae hataoa
Kwanza huwa hata wakioa sokoni wanaenda wenyewe maana ukienda wewe hautachagua vitu vizuri.Yaani huyo anajua bei ya kitunguu sokoni bei gani Kiumbe kama huyo ukiishi nae ni tabu huwezi kuweka pesa ya akiba kwa kibubu
kwa mwanaume kutokuoa haikuzui kuzaa na mwanamke.Chelewa tu ila kaa ukijua unachelewesha watoto kuanza shule
Hahahahahha anaunga mboga na nazi.
Tena ukute kamnyonyoa mwenyewe huyo kuku.
Hivi mimi muda wa kupika kuku natoa wapi?
Kwanza unaundugu na mh. Mwigulu?
Wanaume wa aina hiyo wengi wao wanakuwa na gubu yaani ukipika chakula haishi kukosoa 😀😀😀Kwanza huwa hata wakioa sokoni wanaenda wenyewe maana ukienda wewe hautachagua vitu vizuri.
Wanajua kuchagua vitu acha kabisa.