Wakuu na wataalam wa Ngozi naombeni msaada.
Nina miaka 26, nimezaliwa 1992. Tatizo langu ni uso wangu kujaa mikunjo hasa mikunjo ya ndita kwenye paji la uso.
Sijajua tatizo ninini, yani nikikaa na baba angu utafikiri yeye ni kaka angu.
Mikunjo yangu ni kama ya Stive Nyerere, yani nikikaa na vijana wa umri wangu sifanani nao na ambao hawanifahamu hunisalimia wakidhani mi ni mkubwa.
Ni hospitali ipi naweza kwenda kutibiwa?
Au ni hospitali gani ina wataalam wa ngozi hapa nchini?
Naombeni msaada.
Nina miaka 26, nimezaliwa 1992. Tatizo langu ni uso wangu kujaa mikunjo hasa mikunjo ya ndita kwenye paji la uso.
Sijajua tatizo ninini, yani nikikaa na baba angu utafikiri yeye ni kaka angu.
Mikunjo yangu ni kama ya Stive Nyerere, yani nikikaa na vijana wa umri wangu sifanani nao na ambao hawanifahamu hunisalimia wakidhani mi ni mkubwa.
Ni hospitali ipi naweza kwenda kutibiwa?
Au ni hospitali gani ina wataalam wa ngozi hapa nchini?
Naombeni msaada.