chuma cha reli JF-Expert Member Jul 2, 2012 2,758 2,529 Dec 9, 2019 #21 Acha udhaifu wewe dogo, mwanamke mwenyewe ameshakusaliti halafu we bado unampenda!!! Baba mtoto yupo wapi?.... tuanzie hapo kwanza
Acha udhaifu wewe dogo, mwanamke mwenyewe ameshakusaliti halafu we bado unampenda!!! Baba mtoto yupo wapi?.... tuanzie hapo kwanza
mangyi JF-Expert Member May 16, 2018 718 867 Dec 9, 2019 #23 Ndoa haziko hvyo braza. Unaeza kuja kujuta baadae. Kama inawezekana acha aolewe na aliyempa ujauzito
Joseph lebai JF-Expert Member Jul 19, 2017 8,452 8,606 Dec 9, 2019 #25 aliyempa ujauzito ndio bwana wake, wewe unajipendekeza tu.