MoonBoy
Senior Member
- Jul 15, 2016
- 195
- 133
Habari zenu ndugu zangu wataalamu wa masuala ya kiafya na wengine wote
Naombeni ushauri wa kiafya. Nina mchumba wangu, nilikuwa mbali naye kulingana na utafutaji wa maisha, ila ahadi yetu ni kuoana. Juzi tarehe 6 mwezi wa 12 mwaka 2019. Nilikwenda nyumbani kwao Dar es Salaam. Lakini nilishtushwa kwa kumkuta ana mtoto wa miezi sita. Nampenda sana mchumba.
Kuwa kwake na mtoto, imeniuma lakini pamoja na hayo, bado namuhitaji. Sasa ushauri wa kitaalamu ninaoutaka, mtoto yule haiwezekani kuachwa mahali, hivyo lazima nikaishi naye, sijakataa hilo.
Sasa je, itawezekana kufanya tendo la ndoa na mke wangu, ingali mtoto ni mdogo? Angelikuwa wangu, najua hakuna madhara, ila sio wangu. Je, kuna athari gani zitamtokea mtoto au ni maneno tu? Na kama kuna athari zozote, basi nitamuoa na kumuangalia tu mpaka aachishe kunyonyesha, maana siwezi kutoa nje au kutumia kondomu.
Naomben ushauri wenu. Bado sijamuoa, ila nataka kumuoa.
Ahsanteni na Mwenyezi Mungu awabariki wote mtaonipa ushauri juu ya hili.
Naombeni ushauri wa kiafya. Nina mchumba wangu, nilikuwa mbali naye kulingana na utafutaji wa maisha, ila ahadi yetu ni kuoana. Juzi tarehe 6 mwezi wa 12 mwaka 2019. Nilikwenda nyumbani kwao Dar es Salaam. Lakini nilishtushwa kwa kumkuta ana mtoto wa miezi sita. Nampenda sana mchumba.
Kuwa kwake na mtoto, imeniuma lakini pamoja na hayo, bado namuhitaji. Sasa ushauri wa kitaalamu ninaoutaka, mtoto yule haiwezekani kuachwa mahali, hivyo lazima nikaishi naye, sijakataa hilo.
Sasa je, itawezekana kufanya tendo la ndoa na mke wangu, ingali mtoto ni mdogo? Angelikuwa wangu, najua hakuna madhara, ila sio wangu. Je, kuna athari gani zitamtokea mtoto au ni maneno tu? Na kama kuna athari zozote, basi nitamuoa na kumuangalia tu mpaka aachishe kunyonyesha, maana siwezi kutoa nje au kutumia kondomu.
Naomben ushauri wenu. Bado sijamuoa, ila nataka kumuoa.
Ahsanteni na Mwenyezi Mungu awabariki wote mtaonipa ushauri juu ya hili.