Nina mchongo wa hela...Ukifanywa vizuri pesa ni ya uhakika !!!!

Senior Boss

JF-Expert Member
Aug 19, 2011
3,405
3,678
Hello JF,Kulingana na hali ya uchumi na maisha kua magumu sana hapa nchini kwetu...nilikuwa nafkiria kitu kama kufanya biashara ya ku export tobacco (cigarettes) from Tanzania to Europe (UK, Spain etc.) or oceanic countries like Australia. kwan kule tax incidence ya cigarettes ni kubwa sana.....unakuta sigara moja huuzwa mpaka Tsh. 1200 ukilinganisha na huku TZ ni Tsh. 100. Iwapo mtu akaweza ku smuggle (kununua from a low tax area and sell to a high tax area) walau packet 20 za sigara ataweza pata faida maradufu. wadau sijui kama mnanipata?? Nilichokua nauliza is this idea very possible or not ?? Hii kitu kama ikifanywa effectively kipato cha weza kufikia mpk $ 2500 kwa siku. Tobacco is a highly demanded and an addictive product. Istoshe tobacco is very legal. Serikali inatengeneza pesa nyingi sana from Tobacco. Wadau huu mwaka wetu tufanye mambo ya uhakika. Nahitaji mchango na comments zenu. Refer to tha case below.Cigarette Smuggling Still Booming
 
kwani kuzituma nje ni haramu? why is it smuggling then?


Serikali yao cio wajinga ku impose high taxes...wana punguza effects zake na ku increase benefits katika jamii yao !!! wao wanavyanzo vingi vya income cio kama tz tunategemea breweries, tcc etc. So mtu from nowhere ukiuza kwa bei nafuu than what they recommend wakikushtukia lazima wakufanyie !!! watakuuliza zimeingiaje kwao na hazija sajiliwa. ku import kule cio haramu bali watakucharge high taxes....uki smuggle una kwepa ushuru for high profits.
 
Serikali yao cio wajinga ku impose high taxes...wana punguza effects zake na ku increase benefits katika jamii yao !!! wao wanavyanzo vingi vya income cio kama tz tunategemea breweries, tcc etc. So mtu from nowhere ukiuza kwa bei nafuu than what they recommend wakikushtukia lazima wakufanyie !!! watakuuliza zimeingiaje kwao na hazija sajiliwa. ku import kule cio haramu bali watakucharge high taxes....uki smuggle una kwepa ushuru for high profits.

how do you convince someone who wants to inject his cash into this claimed to be lucrative business

i smell that all my cash will be swallowed instead of profitable returns as your proposed exportation process is an illegal one
 
how do you convince someone who wants to inject his cash into this claimed to be lucrative business

i smell that all my cash will be swallowed instead of profitable returns as your proposed exportation process is an illegal one


kuna usemi usemwao that "CRIME PAYS".....aliyekwambia utaanza na mtaji mkubwa nani?? waweza anza na packet 5 mfano Tsh. 10,000......issue ikinoga unaongeza mdogo mdogo !!!! na lazima ujiwekee mazingara flan hata kama issue ikinuka....hukamatwi.
 
kuna usemi usemwao that "CRIME PAYS".....aliyekwambia utaanza na mtaji mkubwa nani?? waweza anza na packet 5 mfano Tsh. 10,000......issue ikinoga unaongeza mdogo mdogo !!!! na lazima ujiwekee mazingara flan hata kama issue ikinuka....hukamatwi.

haaa haaa haaaa

wakikuachia ikinoga wakijifanya hawajui mpaka ufikie mtaji wa US$ 200,000 , halafu waka comfiscate, itabidi urudi kufungua kibanda cha chips

anyways, my input is just a challenge to your "deal"
 
haaa haaa haaaa

wakikuachia ikinoga wakijifanya hawajui mpaka ufikie mtaji wa US$ 200,000 , halafu waka comfiscate, itabidi urudi kufungua kibanda cha chips

anyways, my input is just a challenge to your "deal"


kaka acha tu....ndoto za uhalifu sababu ya shida na umasikini.....unakuta mtu ameridhika amechill tu ha minyi ubongo....anakula bata tu alaf mezani anataka menu....ila naamini one day YES !!!! kila aliyefanikiwa ana story yenye uchungu !!!! Unafkiri ku push range rover sports kitaani mchezo??
 
kaka acha tu....ndoto za uhalifu sababu ya shida na umasikini.....unakuta mitoto ya kishua imechill tu haya minyi ubongo....yanakula bata tu....ila naamini one day YES !!!! kila aliyefanikiwa ana story yenye uchungu !!!! Unafkiri ku push range rover sports kitaani mchezo??

Kwa hiyo unataka kusema kwamba hata Warren Buffet ( ref. avatar yako) aliwahi kupitia njia hii haramu ya kukwepa kodi?
 
kaka acha tu....ndoto za uhalifu sababu ya shida na umasikini.....unakuta mitoto ya kishua imechill tu haya minyi ubongo....yanakula bata tu....ila naamini one day YES !!!! kila aliyefanikiwa ana story yenye uchungu !!!! Unafkiri ku push range rover sports kitaani mchezo??

inpiring, kwani ukiumiza kichwa namna hii, ukikutana na clean business naamini you will fly high

this one resembles like yours but its done legally, kuna jamaa anunua roasted coffee anasafirisha na kuiingiza china mainland and Hongkong (export), halafu anaigrind (saga) na ku pack kwenye packaging zenye brand ya kichina, anapiga pesa balaa, kahawa ananunua kwa wakulima na anaigrade halafu anaikaanga kwenye mashine za kukodi, maybe one can do it in any african country or europe
 
JF kuna mambo kweli. Yaani utapeli. Utapeli. Utapeli. Wizi mtupu.
 
inpiring, kwani ukiumiza kichwa namna hii, ukikutana na clean business naamini you will fly high

this one resembles like yours but its done legally, kuna jamaa anunua roasted coffee anasafirisha na kuiingiza china mainland and Hongkong (export), halafu anaigrind (saga) na ku pack kwenye packaging zenye brand ya kichina, anapiga pesa balaa, kahawa ananunua kwa wakulima na anaigrade halafu anaikaanga kwenye mashine za kukodi, maybe one can do it in any african country or europe

watu wa namna hiyo ndo tunawahitaji JF cio waongea pumba mda wote. Unajua mpango mzima ni kuzikomoa sheria cio kuzivunja. unajua mi naamini maujanja yako mengi sana tu ni mtu kushtukia issue......hapa bongo mi naona tunacheza sana, ndugu yangu nchi za watu (europe,usa etc) opportunuty za hela zimezibwa kila corner pesa hakuna....ndo maana watu wakija africa wanachota hela na viroba...ukipata network ya marafiki kama 20 hvi, i mean extremely potential people wanaojua kufikiria....mki unite mnaweza fanya vitu vya hatari sana. Watz nashauri tubadilike cio siri.....blaming tha government haisaidii kabsa, it will NEVER get any better !!!
 
Kwa hiyo unataka kusema kwamba hata Warren Buffet ( ref. avatar yako) aliwahi kupitia njia hii haramu ya kukwepa kodi?

we warren buffet unamjua vizuri?? unafkiri ataanika password yake hadharani ??? alaf umwagie vitumbua vyake mchanga !!! watu wana hustle kiukweli unafanya mchezo nn?? hela inatafutwa cio kitoto..... soma vitabu vyake utajua baadhi ya visiri vyake kwenye biashara zake....ackudanganye mtu huku JF kuna matajiri kibao...mbona hawamwagi idea na strategy zao humu....??? JF imejaa umbeya na unafki tu hamna lolote. mafanikio yako mikononi mwako siku zote !!!! kaa chini fikiria kisha tenda ukijua nn unafanya !!!!
 
High Tax means wao Government ndio at the end watakaochukua iyo kodi.
Yaani haiwi tu bei inakuzwa ili kupunguza Uvutaji halafu ukuzwaji huo unaachwa wote uwe faida kwa muuzaji.
So kifupi waweza kuta hata huko pia Govt wakichukua chao (kodi) unabaki na ile ile Tshs 100 ya jamaa yangu mmoja humu figganigga
 
watu wa namna hiyo ndo tunawahitaji JF cio waongea pumba mda wote. Unajua mpango mzima ni kuzikomoa sheria cio kuzivunja. unajua mi naamini maujanja yako mengi sana tu ni mtu kushtukia issue......hapa bongo mi naona tunacheza sana, ndugu yangu nchi za watu (europe,usa etc) opportunuty za hela zimezibwa kila corner pesa hakuna....ndo maana watu wakija africa wanachota hela na viroba...ukipata network ya marafiki kama 20 hvi, i mean extremely potential people wanaojua kufikiria....mki unite mnaweza fanya vitu vya hatari sana. Watz nashauri tubadilike cio siri.....blaming tha government haisaidii kabsa, it will NEVER get any better !!!

sijui tutabadilika lini, naona giza litaendelea kwa masaa 19 kati ya 24 kwenye business community yetu, hakuna creativity, uthubutu, wengi wetu ni wabinafsi
 
High Tax means wao Government ndio at the end watakaochukua iyo kodi.
Yaani haiwi tu bei inakuzwa ili kupunguza Uvutaji halafu ukuzwaji huo unaachwa wote uwe faida kwa muuzaji.
So kifupi waweza kuta hata huko pia Govt wakichukua chao (kodi) unabaki na ile ile Tshs 100 ya jamaa yangu mmoja humu figganigga

kakudanganya nani?? hizo taxes zina discourage pande zote mbili.....muuzaji binafsi na mnunuaji. mwishowe hiyo sector itabaki mikononi mwa serikali yao. Inaonyesha concept hujaipata vizuri au hujui sera za taxes na biashara zinavyoendeshwa kwa ujumla...kaa chini shika kitabu au tembelea link nliyotoa hapo awali.
 
kakudanganya nani?? hizo taxes zina discourage pande zote mbili.....muuzaji binafsi na mnunuaji. mwishowe hiyo sector itabaki mikononi mwa serikali yao. Inaonyesha concept hujaipata vizuri au hujui sera za taxes na biashara zinavyoendeshwa kwa ujumla...kaa chini shika kitabu au tembelea link nliyotoa hapo awali.
Wewe ndugu hueleweki kabisa upo upande upi. Kama ndio style hiyo unavyotaka kufanya biashara utapate faida??
Yaani we plani yako ipoje kama unajua hata kule kua unakwenda kulipa kodi kubwa
 
Wewe ndugu hueleweki kabisa upo upande upi. Kama ndio style hiyo unavyotaka kufanya biashara utapate faida??
Yaani we plani yako ipoje kama unajua hata kule kua unakwenda kulipa kodi kubwa

???? Poa kama vp poteza....wanaonielewa watachangia. Thanx 4 ur comment anyway.
 
Dah! nimekurupuka nikadhani mkulima leo nimepata dili! kumbe mambo ya wizi wa kupasua vichaka mipakani, haya mi narudi chini ya mti kusibiri lifuatalo.
 
i am ready to risk pkt 5 za fegi kama kuna mtu wa mbele aliye tayari ili nimtumie...
...masharti----awe na account ya paypal
---nitatuma kwa EMS

aniPM
 
i am ready to risk pkt 5 za fegi kama kuna mtu wa mbele aliye tayari ili nimtumie...
...masharti----awe na account ya paypal
---nitatuma kwa EMS

aniPM

Unataka kunambia mm ndo nkutafutie wateja?? ur not serious bro...hapa tuna xchange ideas tu....utekelezaji ni juu yako.
 
Back
Top Bottom