Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Hello JF,Kulingana na hali ya uchumi na maisha kua magumu sana hapa nchini kwetu...nilikuwa nafkiria kitu kama kufanya biashara ya ku export tobacco (cigarettes) from Tanzania to Europe (UK, Spain etc.) or oceanic countries like Australia. kwan kule tax incidence ya cigarettes ni kubwa sana.....unakuta sigara moja huuzwa mpaka Tsh. 1200 ukilinganisha na huku TZ ni Tsh. 100. Iwapo mtu akaweza ku smuggle (kununua from a low tax area and sell to a high tax area) walau packet 20 za sigara ataweza pata faida maradufu. wadau sijui kama mnanipata?? Nilichokua nauliza is this idea very possible or not ?? Hii kitu kama ikifanywa effectively kipato cha weza kufikia mpk $ 2500 kwa siku. Tobacco is a highly demanded and an addictive product. Istoshe tobacco is very legal. Serikali inatengeneza pesa nyingi sana from Tobacco. Wadau huu mwaka wetu tufanye mambo ya uhakika. Nahitaji mchango na comments zenu. Refer to tha case below.Cigarette Smuggling Still Booming