Jogookoko
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 533
- 418
Acha ufala,tafuta chumba cha bei nafuu hata elf 20.vipo vingi tu kiwalani,yombo hata huko huko mabibo,mtoto muhamishie shule ya serikali.wewe ni mwanaume ingia mtaani piga hata debe au biashara ndogondogo.ila kamwe usiikimbie familia utajuta maisha yako yote utakaposikia mkeo anajiuza mjini na mwanao ni teja/kibaka au ombaomba.yakishindikana yote rudi kijijini kuna fursa