Idea ya Project Appraisal inaweza kukusaidia.Yes. Mongula alinifundisha. Market, State and Society..
Na Project Appraisal
Okay, sikua najuaUshauri mzuri... Though kwa Social Sciences kule juu hasa Sociology inakuja around 7.5 mln
Umefanya risech kwenye area ipi?I mean mfate supervisor wako alokusimamia nae pia anaweza kukupa mwongozo na mambo yakaenda,me aupervisor wangu hadi leo nikienda ananisaidia kulingana na maisha ya kitaaYes. Mongula alinifundisha. Market, State and Society..
Na Project Appraisal
Habar za PhD mzee mzima achana nazo kabisa.Umeshatumia almost mil 10 kusoma M.A sasa ifanyie kazi hiyo elimu na itapata hela.Ila kama unataka kuwa kama Mwaky3mb3 haya kasome PhD ambapo itakutoka mil 12 kwa IDS
...Tuwasiliane PMWakuu Salama!...
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nina Masters degree na uzoefu wa miaka 4 katika Monitoring and Evaluation. Kutokana na wimbi la ukosefu wa ajira, kupungua kwa kazi za consultancy, hali ya biashara kuwa ngumu mitaani, natumia fursa hii kuomba Internship katika mambo ya Monitoring & Evaluation or Research katika shirika lolote lile (NGO, CSO, Consultancy firms nk)..
Asanteni sana
awamu huu inahusiana nini na kufa kwa biashara zako??Nimelima Ruvu, Bagamoyo. Nilianzisha biashara zangu 3 enzi hizo mara baada ya contract ya ajiya ya kwanza kuisha... Katika awamu hii zote zimekufa ndio maana nimeamua kurudi katika ajira through Intenship
ungejua......Sina hakika kama unabiashara huku mitaani. If Yes, huwezi kuuliza swali kama hili!
kama lipumb**Sasa kazi amna ni kusoma tu mpaka tudate.
kama lipumb**
Tafadhali njoo PM nikupe connection yao.Hapana Mkuu.... Tell Me more abaout it chief
nami nilikuwa nachomekea tu!!Hapana,sikusema ivo
Kama unasoma hasa kwa bongo means una hela,Sasa kazi amna ni kusoma tu mpaka tudate.
kuna matangazo mengne ni kweli. mengne hewaivi iyo zoom ni kweli au changa la macho? kila nikituma cv napata simu ya kuombwa elfu20