Nina mashaka Rais wa DRC Joseph Kabila ni Mtanzania mwenzetu

Masamila

JF-Expert Member
Jun 22, 2014
6,410
7,303
Habari za jioni wakuu

Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu

Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)

Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini

 
Habari za jioni wakuu

Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu

Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)

Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini

Sio mtz bana, sema anajua sana.kiswahili.coz amesoma mbeya na kukulia hapa.tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dili kwanza na wa kwenu mkubwa achana naya watu
Habari za jioni wakuu

Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu

Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)

Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini

 
Alikuwa Jeshini wakati ule watu wanapita Jkt kwa mujibu wa sheria pale mgambo Jkt na bro wangu. Nasikia alikuwa anapotea tu wiki, akirudi anakuja na documents analala nazo hagusi mtuu na alikuwa hasumbuliwi na maafande.

Hiyo ya mpaka wajeda wa enzi hizo wakawa alerted jinsi ya kuishi nae huyo jamaa kuna mpango mkubwa sana tu unaohusisha wakubwa wa nchi inavyoonekana
 
Hiyo ya mpaka wajeda wa enzi hizo wakawa alerted jinsi ya kuishi nae huyo jamaa kuna mpango mkubwa sana tu unaohusisha wakubwa wa nchi inavyoonekana
Yea baada kama ya miaka miwili au mitatu baba yake akawa Rais Congo. Baba yake ameishi sana msasani watu wakimfahamu kama mzee Mtwale, mfipa wa Sumbawanga kumbe the next president of Congo
 
Habari za jioni wakuu

Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu

Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)

Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini


Kuweza KUONGEA vizuri,kwa ufasaha au kwa usahihi lugha ya taifa fulani sio ndio UTAIFA WAKO!!!
Kuna Mambo mengi yanayoweza kukufanya ukaongea vema kabisa lugha ya Taifa jingine kwa kukulia huko au kunifunza kwa usahihi
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom