Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,401
- 7,307
Huyu jamaa kila siku anapenda kutetea maslai ya wanao Watesa watanzania
1.Kipindi wanapitisha sheria ya manunuzi Bungen,Mnyika anasema iwekwe azabu kali kwa wale watao kiuka sheria hiyo,yeye akawa anasema hapana si vizuri,juzi sheria ya pesa chafu,na jana kuhusu bidhaa za feki
1.Kipindi wanapitisha sheria ya manunuzi Bungen,Mnyika anasema iwekwe azabu kali kwa wale watao kiuka sheria hiyo,yeye akawa anasema hapana si vizuri,juzi sheria ya pesa chafu,na jana kuhusu bidhaa za feki