Nina mashaka na mradi wa Julius Nyerere Hydropower Station

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
Kiukweli napata shida sana kuelewa...
1.kwann tusiendeleze vyanzo vya umeme tunaotumia sasa hivi ?

2.Rais ajae tuna uhakika gan km ataendelea na mradi huu ? Unakumbuka mradi wa gesi mtwara tuliambiwa unamaliza shida ya umeme?
Lakini Rais wa sasa ameanzisha mradi mpya kabisa na gesi ameachana nao.

Tunapoteza pesa nyingi kwa miradi mipya wakati gesi ipo na ilishapatikana

Natamani kuandika sana hisia zangu ila sio mwandishi mzuri....wasomi mnatuchanganya sana.
Kila muhula tunaanza upya
 
ile ya gaes alishauziwa
Kiukweli napata shida sana kuelewa...
1.kwann tusiendeleze vyanzo vya umeme tunaotumia sasa hivi ?

2.Rais ajae tuna uhakika gan km ataendelea na mradi huu ? Unakumbuka mradi wa gesi mtwara tuliambiwa unamaliza shida ya umeme?
Lakini Rais wa sasa ameanzisha mradi mpya kabisa na gesi ameachana nao.

Tunapoteza pesa nyingi kwa miradi mipya wakati gesi ipo na ilishapatikana

Natamani kuandika sana hisia zangu ila sio mwandishi mzuri....wasomi mnatuchanganya sana.
Kila muhula tunaanza upya
ile ya gas alishauziwa mtu kwa mkataba ambao mungu na malaika zake wanajua
 
Back
Top Bottom