mchezo mbaya
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 242
- 235
Nilivunjiwa nyumba usiku na kuibiwa vitu vyenye thamani ya zaidi ya TShs 3,500,000/= mashahidi wanne walitoa ushahidi was kumshuhudia mtuhumiwa akiiba. Hakimu was mahakama ile ya mwanzo alimtia hatiani mtuhumiwa. Cha kushangaza alipewa adhabu ya kifungo cha miezi 12 au faini ya TShs 500,000|=. Je, no sheria IPI imetumika hapo?.