Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Kwani pesa ni za serikali au chadema? Acha watu wachangie chama chao, na ninyi ccm mnaweza kuiga ingawa hamna wanachama kwa sasa.
Nimejua tatizo lako ni uelewa wa hayo mambo pole sanaKama watanzania wana Amani nchi ina amani kama mnavyojipambanua basi hakuna haja ya kuogopa,otherwise labda iwe kinyume chake
Asante mganga wangu kwa ramli, naomba tibaNimejua tatizo lako ni uelewa wa hayo mambo pole sana
Kuja ki pm pm nikufunde hakuna namnaAsante mganga wangu kwa ramli, naomba tiba
Kizuri humwagwa hadharani na wala si gizani hasilaniKuja ki pm pm nikufunde hakuna namna
When fools congratulate each other!!! Get bothered not.Unaona kwa jicho la tatu ndugu. Unaweza kuwa sahihim100%